Tabia za mashabiki zamkera Wema Sepetu MISS Tanzania 2006, Wema Sepetu amesema huwa hapendezwi na kitendo cha mashabiki kumshindanisha na mwanamitindo Hamisa Mobetto, kwani jambo hili ni kama wanamtengenezea chuki na mrembo huyo.
Caravans T20... Lions yawaliza Flashnet Strikers ILIKUWA ni jioni njema kwa Park Mobile Lions baada ya ushindi mnono wa mikimbio 60 dhidi ya Flashnet Strikers katika mduara (oval) wa Leaders Club jijini, Dar es Salaam mwishoni mwa juma.
Madina yupo tayari kwa vita Zambia NYOTA wa timu ya taifa ya Gofu ya Wanawake ya Tanzania kutoka Arusha, Madina Idd amekuwa ni Mtanzania wa pili kuthibitisha ushiriki wa mashindano ya wazi ya ubingwa wa gofu yanayotarajiwa kupigwa...
JIWE LA SIKU: Coastal haina sababu ya kumganda Lawi USHAWAHI kusikia ule mkasa wa wanandoa kupeana talaka na kuachana huku wakiwa bado wanapendana.
Mwinzani: Mtashangaa NCBA, Lugalo Open CHIPUKIZI wa mchezo wa gofu, Julius Mwinzani wa klabu ya Dar es Salaam Gymkhana, anasema atakuja kuwashangaza wengi katika mashindano ya mchezo huo ya NCBA, Lugalo Open na Lina Tour kwa jinsi...
Chaz Baba: Umaarufu samtaim miyeyusho MTUNZI na mwimbaji mkali wa muziki wa dansi, Chaz Baba amesema umaarufu wakati mwingine ni miyeyusho kwani ugeuka ni mateso kwa kuwa humjengea woga msanii kufanya jambo lolote popote hata kama...
Mose Iyobo, Masha Love mahaba niue SIKU chache tangu kusambaa kwa tetesi kwamba Mose Iyobo, dansa wa Diamond anatoka kimapenzi na staa wa Bongo Movie, Masha Love mwenyewe amevunja ukimya na kukiri ni kweli ni mtu wake na jkwamba...
PRIME Siri yafichuka, Chama apewa mkataba mnono Yanga Hata hivyo, mara baada wakala huyo kujifungia na Chama wakizungumzia dili hilo, kiungo huyo alishindwa kukubaliana na ofa hiyo akiwaambia atabaki Tanzania, ingawa anaweza kucheza timu tofauti na...
JKU kupewa ndoo ya ubingwa kecho New Amaan Complex MAAFANDE wa JKU imemaliza ubishi kwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) baada ya kutoka sare ya 1-1 na Kipanga, na kesho jumapili itakabidhiwa taji hilo katika sherehe zitakazoenda...
JKU yabeba ubingwa Ligi Kuu ya Zanzibar MAAFANDE wa JKU imemaliza ubishi kwa kutwaa taji la Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), jana Ijumaa baada ya kutoka sare ya 1-1 na Kipanga, huku Zimamoto ikicharazwa mabao 2-0 na New City wakati ligi hiyo...