Singida BS yaichapa Kagera SINGIDA Black Stars, wameendeleza ubabe wao katika Ligi Kuu Bara baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya wenyeji wao, Kagera Sugar.
Nchemba aiangukia Yanga kwa Kagoma Mdau wa michezo nchini aliye pia Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, amefunguka kwa mara ya kwanza sakata la kiungo Yusuf Kagoma, anayedaiwa kusaini Yanga na baadae kujiunga na Simba.
Sanaa zisizo na maadili ni kosa la mashabiki CHANELI moja kubwa ya TV nchini ilikuwa na kipindi fulani cha mahojiano cha kipekee. Ilikuwa inawauliza wasanii maswali yasiyohusu sanaa zao. Kwa mfano, anaweza akaletwa msanii wa Bongo Fleva na...
Wahabeshi waitangulia Yanga CAF WAKATI Yanga ikijiandaa kushuka uwanjani saa 1:00 usiku kumalizana na Vital'O ya Burundi, wapinzani watakaokutana nao katika raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika, kama itawang'oa Warundi...
Tanzania Prisons, Mashujaa hakuna mbabe Maafande wa Tanzania Prisons wameambulia pointi nyingine ya ugenini, wakilazimisha suluhu dhidi ya Mashujaa katika mchezo wa raundi ya pili wa Ligi Kuu Bara, uliochezwa Uwanja wa Lake Tanganyika,...
Simba Queens yaambulia sare, kuikabili Kenya Police Bullets Wawakilishi wa Tanzania Bara katika michuano ya timu za soka za wanawakw ukanda wa Cecafa, Simba Queens wamemaliza kibabe mechi za makundi kwa kulazaimishwa sare ya 2-2 dhidi ya PVP Buyenzi ya...
NIONAVYO: Inafikirisha klabu kuhamia ugenini WAPENDWA wasomaji wetu, hii ni makala ya 100 katika safu hii ya Nionavyo. Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa hatua hii, maana kwa zaidi ya majuma 100 ametuwezesha kuifanya kazi hii.
Jeuri ya Aussems ipo hapa! KOCHA Mkuu wa Singida Black Stars raia wa Ubelgiji, Patrick Aussems amesema kwa sasa anajivunia upana na ubora wa timu hiyo baada ya kuanza vyema Ligi Kuu Bara msimu huu, huku wachezaji wote...
Jubilee yaipiga tafu Don Bosco KATIKA kuendeleza vipaji vya wachezaji wa mchezo wa kikapu nchini, Bima ya Maisha ya Jubilee imeingia katika udhamini wa timu ya Don Bosco Oysterbay yenye wachezaji 60 wa rika mbalimbali kupitia...
Tido Mhando afichua kilichoiponza Tanzania Olimpiki - 3 Nami pia nikapata bahati ya kwenda kote, Algiers na Edmonton. Kama kawaida kote umaarufu uliojengeka wa wanamichezo wa Tanzania ulionekana bayana waliogopewa na kuheshimiwa. Jambo moja...