PRIME Beki Yanga amlilia Jonathan Sowah MSHAMBULIAJI mpya wa Simba, Jonathan Sowah ameshaanza mazoezi akiwa na kikosi cha timu hiyo kilichopo Misri, lakini kuna beki mmoja aliyewahi kukipiga Yanga ameshtushwa na kuumizwa juu ya...
Man United yajitosa jumla jumla kwa Sesko MAMBO ni moto. Manchester United imeamua kwenda miguu yote kwenye ofa yao ya kumchukua straika wa RB Leipzig, Benjamin Sesko.
PRIME Mido Mkenya, Sowah wainogesha kambi KIKOSI cha Simba leo Jumatatu kinaingia siku ya tano kikiwa kambini katika jiji la Ismailia, Misri kujiandaa na msimu mpya na kikosi hicho kimepokea kundi lingine la wageni na wenyeji wakiwa...
PRIME Kuhusu suala la Mpanzu Simba lipo hivi HUKO miluzi ni mingi kuhusiana na nyota wa Simba, Elie Mpanzu, ambako mijadala mbalimbali inaendelea wakati huu ambao ishu za usajili katika timu mbalimbali zimetaladadi, ambapo mastaa kibao...
PRIME Staa huyu amchomoa Ikanga Speed Yanga YULE bundi bado anaendelea kulia kwenye mkataba wa winga Mkongomani wa Yanga, Jonathan Ikangalombo na wakati wowote anaweza kupewa mkono wa kwaheri. Iko hivi. Ikangalombo hatma yake ndani...
PRIME Hersi apita na mido wa Simba ULISIKIA lile jina la kiungo Lassine Kouma kutoka Stade Malien? Yule aliyekuwa anawindwa na Simba? Basi Yanga imefanya kama ilivyofanya kwa mastaa wengine. Taarifa zinabainisha imeshapita naye...
Taifa Stars ina ‘sapraizi’ yenu ACHANA na matokeo ya mechi ya jana usiku wakati Taifa Stars ikimalizana na Mauritania katika mechi ya pili ya Kundi B la michuano ya CHAN 2024, timu hiyo ya taifa ina sapraizi kwa mashabiki wa...
PRIME Tshabalala apewa mkataba wa kishua BEKI Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ ametambulishwa usiku wa juzi akiwa mmoja ya nyota wapya wa Yanga akitokea Simba, lakini saini ya mkataba uliomfanya avae uzi wa Jangwani si mchezo kutokana...
Ballon d’Or 2025 namba zinazungumza MAJINA 30 ya mastaa wa soka yametajwa kwenye mchakato wa kuwania tuzo ya Ballon d’Or 2025 kwa kuzingatia ubora wa viwango vyao kwenye mechi walizocheza msimu wa 2024-25.
PRIME Ikanga Speed aiomba Dabi ya Kariakoo YANGA imerudi kazini kuanza maandalizi ya kwenda kupambana na watani wao Simba waliorejea jijini Dar es Salaam juzi ikitokea Arusha, ilipoenda kucheza mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Coastal...