Arsenal yapanga kukata rufaa LONDON, ENGLAND: KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amesema timu hiyo itakata rufaa juu ya kadi nyekundu ya beki wao Myles Lewis-Skelly aliyoonyeshwa katika mchezo dhidi ya Wolves ikiwa FA...
Vigogo Man United waulizia kuhusu Christopher Nkunku MANCHESTER United imeulizia uwezekano wa kumsajili mshambuliaji wa Chelsea na Ufaransa, Christopher Nkunku, 27, kwa ajili ya kuziba pengo la winga wao raia wa Argentina, Alejandro Garnacho, 20...
ATM YA WIKI: Walker pesa zinamfuata KATIKA dirisha hili la usajili, beki wa Manchester City, Kyle Walker ameachana na timu hiyo kujiunga na AC Milan kwa mkataba wa mkopo wa nusu msimu ikidaiwa anataka kubadilisha mazingira baada ya...
PRIME Sakata la uraia wa 'mchongo' wachezaji wa Singida lachukua sura mpya Sakata la wachezaji watatu wa timu ya Singida Black Stars (SBS), waliopewa uraia wa Tanzania, limechukua sura mpya baada ya Wakili Peter Madeleka kutangaza kufungua kesi ya kikatiba Mahakama Kuu.
PRIME Sintofahamu kupewa uraia wa 'mchongo' wachezaji Singida Wachezaji waliopewa uraia ni Emmanuel Keyekeh, ambaye ni raia wa Ghana, Josephat Bada wa Ivory Coast na Muhamed Camara kutoka Guinea.
PRIME Maswali 10 uraia nyota Singida BS HATUA ya wachezaji watatu wa Singida Black Stars kutangazwa kupewa uraia wa Tanzania na kuthibitishwa na Idara ya Uhamiaji, imeibua mijadala kuanzia mtaani hadi katika mitandao ya kijamii, huku...
Mikakati ushindi Yanga hii hapa Katika kuhakikisha inafanya vizuri kwenye mashindano ya ndani baada ya kutolewa katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga imepanga kufanya mambo mawili ikiamini yatakuwa na tija kwa mechi ilizobakiza...
Cecafa yamuunga mkono Rais wa TFF kuwania ubosi CAF Baraza la vyama vya mpira wa miguu Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) limetangaza kuwa rais wake Wallace Karia ndio atakuwa mgombea pekee wa nafasi ya ujumbe wa kamati ya utendaji ya Shirikisho la...
PRIME Mambo manne yalivyoibeba Ligi Kuu Bara BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), imesema kupanda kwa viwango vya ubora wa Ligi Kuu Bara kumetokana na mambo makuu manne.
Uhamiaji yafafanua nyota Singida BS kupewa uraia Tanzania Idara ya Uhamiaji imethibitisha kwamba wachezaji watatu wanaocheza Singida Black Stars, Emmanuel Kwame Keyekeh (Ghana), Josephat Arthur Bada (Ivory Coast) na Mohamed Damaro Camara (Guinea)...