Simba, Yanga ubabe ubabe Unguja. Si Yanga wala Simba aliyeweza kutikisa nyavu za mpinzani wake katika dakika 45 za kipindi cha kwanza kwenye fainali za Kombe la Mapinduzi zinazofanyika Uwanja wa Amaan kisiwani...
Kocha Azam amjibu Mayele Kocha msaidizi wa Azam FC, Kally Ongalla amejibu kauli aliyotoa mshambuliaji wa Yanga, Fiston Mayele Mei 21 katika Uwanja wa Liti kuwa Azam FC inakamia timu za Yanga na Simba pindi...
Yanga kambi mpya Marekani KAMA ratiba itakwenda kama inavyopigwa baada ya Yanga kubeba ubingwa wa Ligi Kuu na Kombe la ASFC, kikosi hicho kitasafiri hadi Boston, Marekani kuweka kambi ya msimu mpya wa michuano ya ndani na...
PRIME Djuma 'amwaga chozi' Yanga Juzi mchana wakati unapiga ugali wako, Yanga walikuwa wanakamilisha tukio muhimu kwao. Walikuwa wanakamilisha usajili wa beki wa kulia wa ASEC Memosas, Kouassi Yao. Lakini Djuma Shaaban ndiyo...
Kisa kocha Orlando, Simba yaomba ulinzi Afrika Kusini KLABU ya soka ya Simba imesikitishwa na shutuma za uongo za kocha msaidizi wa timu ya Orlando Pirates Mandla Ncikazi alizozitoa baada ya mchezo wa kombe la Shirikisho Afrika ambapo Orlando...
Barbara: Tulitaka kuialika Yanga Super Cup lakini... Dar es Salaam. Ofisa Mtendaji Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez amesema walikuwa na wazo la kuishirikisha Yanga katika mashindano yao ya wiki moja ya ‘Simba Super Cup’. Mashindano hayo ya Simba...
PRIME Yanga, Geita Gold kusaka majibu Baada ya kupoteza mechi zao zilizopita za Ligi Kuu kwa matokeo yanayofanana, Geita Gold na Yanga zinakutana leo kwenye mechi itakayofanyika Uwanja wa CCM Kirumba, jijini Mwanza kuanzia saa 10:00...
Watakaoshiriki tamasha la pasaka waanza kutajwa Dar es Salaam. Maandalizi ya tamasha la Pasaka yamepamba moto na waimbaji watakaoshiriki wameanza kutajwa wakiwemo wa ndani na nje ya nchi. Majina ya waimbaji hao yameanikwa leo Ijumaa Februari...
PRIME Yanga kuchomoa straika Saudi Arabia YANGA imefanya jaribio zito la kumchukua mshambuliaji mmoja Mkongomani ikiendelea na msako wa kutafuta mashine ya mabao katika kipindi hiki cha dirisha dogo la usajili Tanzania Bara Mabosi wa...
Inonga arudi Ivory Coast Jana Simba imemalizana na JKT Tanzania na sasa Henock Inonga atahusika kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Asec Mimosas ya Ivory Coast itakayopigwa Uwanja wa Felix Houphouet Boigny...