Wolves yapata ushindi wa kwanza EPL 2025/26 WOLVES imeanza mwaka 2026 kwa ushindi wao wa kwanza wa Ligi Kuu England msimu huu, baada ya kuwafunga wapinzani wao wa kuwania kuepuka kushuka daraja, West Ham United, kwa mabao 3-0 kwenye Uwanja...
Makocha wa Kiafrika wanavyotesa Afcon 2025 KWA mara ya kwanza katika historia ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), timu zote zilizofuzu nusu fainali za toleo la 2025 zinaongozwa na makocha wa Kiafrika. Mafanikio haya ya kipekee...
Arsenal, Liverpool gemu la kibabe PATACHIMBIKA. Arsenal na Liverpool zitatoana jasho usiku wa Alhamisi katika mechi iliyobeba taswira moja tu mbio ya ubingwa wa Ligi Kuu England msimu huu, huku shughuli pevu itakipigwa Uwanja wa...
Kompyuta inasema... We nani ubishe, Arsenal bingwa EPL ARSENAL itatwaa ubingwa wa Ligi Kuu England licha ya kupoteza dhidi ya Manchester United Jumapili, kwa mujibu wa utabiri wa kompyuta maalumu.
Ubabe wa Pistons, Rockets kwa wakubwa NBA 2026 KATIKA msimu unaoendelea wa Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Marekani (NBA), timu za Detroit Pistons, Houston Rockets na Oklahoma City Thunder zimejitokeza kuwa na rekodi bora zaidi katika michezo...
Carrick apewa mikoba Manchester United MICHAEL Carrick amekubali kuwa kocha wa muda wa Manchester United hadi mwisho wa msimu.
Uongozi Man United kumrudisha nyumbani Solskjaer MAMBO ni moto. Manchester United imemweka kwenye orodha Ole Gunnar Solskjaer ikitaka kumrudisha kuwa kocha wa muda kwa mara ya pili katika kikosi hicho chenye maskani yake Old Trafford.
TFF, Gamondi waitana mezani BAADA ya kuifikisha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars katika hatua ya 16 Bora ya michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) 2025 akiwa kama kocha wa mpito, Miguel Gamondi ameitwa haraka...