TTB kusapoti soka la wanawake Kigoma ikilenga kuhamasisha utalii Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imedhamiria kutumia mpira wa miguu hasa kwa wanawake kutangaza na kuhamasisha utalii wa ndani na mataifa yaliyo katika jumuiya ya Afrika Mashariki. Hilo limekuja...
Aziz Ki awakubali wananchi MBURKINABE Stephane Aziz Ki, anayemalizia mkataba wake na timu ya Asec Mimosas ya Ivory Coast, amesema bado yupo katika mazungumzo ya mwisho kabisa na bosi mmoja wa GSM na kila kitu kikimalizika...
Vita ya usajili GSM aitikisa Congo YANGA ilikuwa jijini Lubumbashi na juzi usiku walitakiwa kurejea nchini baada ya kumalizana na wenyeji wao TP Mazembe katika mchezo wa kukamilisha ratiba lakini kuna vita ya matajiri wawili...
Migne ashusha Mkenya Yanga WAKATI mashabiki wa Yanga wakihesabu saa tu kabla ya kumpokea Kocha Mkuu wao, Sebastien Migne, tayari kocha huyo akishirikiana na mabosi wa klabu hiyo wamefanya mambo yao kimya kimya kwa...
Siasa yajipenyeza AFCON 2027 MACHO yanamulikwa nchini Kenya kuhusu utayari wao wa kuandaa michuano ya Kombe la Afrika 2027 suala kubwa likiwa uwepo wa viwanja vyenye viwango vya kimataifa. Kenya wakishirikiana na mataifa...
Sakho aigawa Simba kisa Waarabu, mabosi wahofia ya kina Chama WINGA kutoka Senegal, Pape Ousmane Sakho, amewagawa mabosi wa Simba baada ya Waarabu kutoka Sudan kutoa ofa ya donge nono ili kumng’oa Msimbazi.
Mastaa Simba wafunguka Mo Dewji kuwa-unfollow BILIONEA wa klabu ya Simba, Mohamed 'MO' Dewji amewachenjia mastaa, makocha na viongozi wa klabu hiyo kwa kuamua kuacha kuwafuatilia (unfollow) kwenye akaunti yake ya mtandao wa kijamii. Mo Dewji...
Cheka amkubali Mwakinyo BONDIA bingwa wa zamani wa dunia wa WBF, Francis Cheka amemtaja Hassan Mwakinyo kuwa ni bondia wake bora kwenye kizazi cha ngumi cha sasa. Bondia huyo amekwenda mbali zaidi na kueleza ushindani...
Faili la Yanga latua Simba MASHABIKI wa Yanga wanatamba mtaani kutokana na timu hiyo kuongoza Ligi Kuu Bara kwa tofauti na pointi nane, lakini wakiamini watani wao wa jadi Simba watawapa taji kwa msimu wa pili mfululizo...
Yanga mafia yaajiri shushushu kuwasoma Waarabu KIKOSI cha Yanga kipo jijini Dar es Salaam kikiendelea na maandalizi ya michezo ijayo ya Ligi Kuu Bara na ile ya Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini akili zote zikiwa juu ya mechi inayofuata ya...