Wakala wa Gyokeres kutua London WAKALA wa mshambuliaji wa Sporting Lisbon, Victor Gyokeres anatarajiwa kutua London, mwezi ujao kufanya mazungumzo na baadhi ya timu zinazohitaji huduma ya mchezaji wake.
PRIME Mazito yaibuka mastaa Ligi Kuu kubeti, vita ngazi zote makocha wafunguka -2 JANA tulianza kuchapisha makala za ripoti ya kuangalizia jinsi wachezaji, viongozi na watu wao wa karibu wanavyojihusisha na suala la uchezaji kamari kwenye mechi za Ligi Kuu Bara, ambapo tuliona...
Nkuku anavyotolewa macho viunga vya Arsenal ARSENAL inafikiria kumsajili straika wa Chelsea na timu ya taifa ya Ufaransa, Christopher Nkunku, 27, katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi ikiwa ni katika lengo la kuboresha safu ya...
Chelsea yapewa uwanja London MKURUGENZI wa shirikisho la mchezo wa Rugby England, Bill Sweeney, yupo tayari kuwaruhusu Chelsea kutumia Uwanja wa Twickenham wakati wanaufanyia maboresho uwanja wao wa Stamford Bridge.
Klopp aitaka Real Madrid, Ujerumani RAFIKI wa karibu wa Jurgen Klopp, Miroslav Tanjga amedai kocha huyo anataka kuifundisha Real Madrid na timu ya taifa ya Ujerumani kabla ya kustaafu.
Pogba? Subirini kidogo STAA wa zamani wa Juventus, Paul Pogba amezungumza kuhusu wapi anaweza kutua katika dirisha lijalo akisisitiza kwamba hadi sasa mambo bado.
Mikel Obi afichua usajili wa Osimhen RAFIKI wa Victor Osimhen ambaye ni mchezaji wa zamani wa Chelsea, John Obi Mikel amesema staa huyo anatamani na anataka kucheza Chelsea licha ya tetesi zinazodai kwamba yupo karibu kutua...
Arsenal V PSG, London itasimama ILIKUWA wikiendi murua kwa mashabiki wa Liverpool. Wikiendi ya kihistoria. Mataji 20 ya Ligi Kuu England, Jiji la Liverpool lilichafuka kwa shangwe, starehe, watu walikunywa, wakala na starehe za...
PRIME Je, unafahamu wachezaji wanavyobeti Ligi Kuu Bara? UBASHIRI katika mechi za soka umeanza kuwa janga ukidaiwa kuingia kwa kasi, huku malalamiko kutoka katika baadhi ya timu zinazoshiriki Ligi Kuu Bara hususani zile za chini yakianza kuibuka...
Vigogo wapigana vikumbo kwa Jonathan David NEWCASTLE United, Manchester United, Tottenham, West Ham, Chelsea, na Liverpool zimeonyesha nia ya kumsajili mshambuliaji wa Lille na timu ya taifa ya Canada, Jonathan David, 25, dirisha lijalo...