Matola mjanja ashtukia jambo KOCHA Msaidizi wa Simba, Seleman Matola ni kama ameshtukia jambo baada ya kuamua kurudi darasani kusoma lugha ili kwenda sawa na makocha wakubwa wanaokuja kufundisha soka hapa nchini, hususan...
Simba fasta kuiwahi Yanga SIMBA ipo visiwani Zanzibar ilikoweka kambi maalumu kwa ajili ya mechi ya 'Kariakoo Derby' dhidi ya Yanga itakayopigwa Jumamosi Aprili 20 uwanja wa Benjamin Mkapa, lakini Wekundu wa Msimbazi hao...
Aziz Ki apigia saluti asisti ya Aucho iliyoiua Simba Staa wa Yanga, Stephane Aziz Ki, ambaye amekuwa maarufu kwa pasi zake za hatari za kuchana ukuta wa upinzani, amempigia saluti Khalid Aucho kwa pasi iliyoizamisha Simba katika ushindi wa 2-1 wa...
Gamondi amuulizia kiungo Simba SIMBA msimu huu imekuwa na kiwango ambacho hakiwafurahishi mashabiki wake lakini kuna wachezaji ambao wamekuwa vipenzi vya mashabiki na wanaamini kama wataendelea kuwepo, miamba hiyo ya Ligi Kuu...
Azam yagonga hodi rasmi Yanga na Sh400 milioni Wakati msimu wa soka Tanzania ukiwa katika makumi yake ya mwisho, klabu kadhaa tayari zimeshaanza maandalizi ya msimu ujao.
Twiga Stars yafuzu WAFCON 2026 TIMU ya Taifa ya Soka ya Wanawake ya Tanzania, Twiga Stars, imefuzu Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026 baada ya kuiondosha Ethiopia kwa jumla ya mabao 3-0.
John Terry aiondoa Chelsea kwenye mbio za ubingwa England Nguli wa Chelsea, John Terry anaamini ukosefu wa uzoefu ndani ya kikosi cha sasa cha klabu hiyo huenda ikawa kikwazo kwa The Blues kuwa sehemu ya timu zitakazowania ubingwa wa Ligi ya EPL msimu...
Messi asikilizia jambo kushiriki Kombe la Dunia 2026 Nahodha wa timu ya taifa ya Argentina, Lionel Messi, amevunja ukimya na kueleza kiu yake ya kutaka kuwa sehemu ya kikosi kitakachoshiriki fainali za Kombe la Dunia 2026, lakini amesisitiza kuwa...