Mwamuzi wa Simba v Constantine huyu hapa SIMBA inaendelea kujifua kwa ajili ya pambano la mwisho la Kundi A la Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya CS Constantine ya Algeria, lakini mastaa wa timu hiyo wanapaswa kuwa makini kwani pambano...
Pmbet promo code | promo code ya kujiunga pmbet Promo code ya pmbet ni code maalumu ambayo ni yalazima ili uweze kufungua account mpya ya kubashiri katika tovuti ya pmbet.
Polisi yamtaka Morrison afike kituoni Mbweni JESHI la Polisi limetoa ufafanuzi baada ya aliyekuwa mshambuliaji wa zamani wa Yanga na Simba, Bernard Morrison, kulituhumu jeshi hilo kituo cha Mbweni kuwa linachukua rushwa, likimtaka staa huyo...
Mtasema! Guardiola awalaza mastaa mazoezi WACHEZAJI wa Manchester City walilazimika kulala kwenye uwanja wa mazoezi wa timu hiyo siku moja kabla ya mchezo wao dhidi ya Everton uliopigwa jana kwenye dimba la Etihad.
PRIME Jean Baleke ameyatimba Yanga MSHAMBULIAJI wa Yanga, Jean Baleke hana nafasi katika kikosi cha timu hiyo tangu enzi za kocha Miguel Gamondi na hata sasa timu ikiwa chini ya Sead Ramovic akishindwa kabisa kumtumia katika mechi...
Dodoma Jiji yafikia pazuri kwa Buswita, KMC yatua Uganda DODOMA Jiji imeanza mazungumzo ya kupata saini ya kiungo wa Namungo, Pius Buswita baada ya kuridhishwa na uwezo wake. Nyota huyo wa zamani wa Mbao, Yanga, Ruvu JKT na Polisi, msimu uliopita...
PRIME Simba yafuata straika Mzambia, aliyewafunga 2021 SIMBA imefungua mazungumzo na mshambuliaji Mzambia, Ricky Banda kwa hesabu za kumshusha nchini katika kuboresha safu yao ya ushambuliaji iliyokuwa na kiwango kibovu msimu huu.
PRIME Boka, Yanga mambo safi, kigogo atua na ndege binafsi wamalizane YANGA nzima jana ilikuwa Arusha ikitafuta tiketi ya kucheza fainali ya tano ya Kombe la Shirikisho (FA) ndani ya miaka tisa, lakini mabosi wake wakirudi tu mjini, watakutana na bilionea mmoja...
EPL imefika patamu sasa Huku vita ya Ligi Kuu England ikiendelea leo kati ya Arsenal na Tottenham Hotspur, jana kocha wa Liverpool Arne Slot alipokea kichapo cha kwanza kuanzia amejiunga na timu hiyo.
Hizi hapa sheria mpya zilizoongezwa EPL Msimu wa Ligi Kuu ya England (EPL) umeanza na mabadiliko ya vipengelee kadhaa katika sheria za soka ambayo yanategemewa kuongeza mvuto wa ligi hiyo.