Mgombea Uenyekiti Simba asusa kikao pamoja lakini nashangaa muda huu naambiwa changu kitapangwa siku moja kabla ya uchaguzi na sio kwamba mimi nimeomba hivyo." Baada ya kuzungumza hayo Kaluwa na wapambe wake waliamua kuondoka...
Mfahamu ‘Muno’ msanii mchanga aliyefanikiwa kumdatisha Rude Boy wa P Square kuja Tanzania Oviemuno Oriero maarufu Muno ni msanii na mwandishi kutoka Nigeria ambaye Desemba mwaka huu amepanga ku t embelea vyombo vya habari Afrika Mashariki ikiwemo Tanzania. Hatua hiyo yake...
Mkude: Kifo cha Modest kimenifunza kumjali mtu akiwa hai KIUNGO wa zamami wa Simba, Yanga na Taifa Stars, Jonas Mkude amesikitishwa na kifo cha mchezaji wa zamani wa timu hizo, Alphonce Modest aliyefariki dubnia jioni ya Oktoba 21, 2025. Mkude ni...
Sikia hii ya Neymar kumhusu Mbappe UMESIKIA hii? Mwandishi wa habari Mfaransa amedai supastaa Neymar amewaandikia meseji wachezaji wa Kibrazili kwenye kikosi cha Real Madrid akiwaambia kucheza timu moja na Kylian Mbappe ni...
Tido akumbuka rekodi ya Bayi, akitaja riadha ilivyoibeba nchi Mwandishi wa habari nguli, Tido Mhando ameeleza kumbukumbu ya miaka 52 ya nguli wa riadha, Filbert Bayi akibainisha namna alivyoibeba nchi enzi zake.
Taswa yalaani kitendo cha Chirwa kumpiga mwanahabari Chama Cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) na wahariri wa habari za michezo nchini kimelaani kitendo cha kushambuliwa kwa mwanahabari John Dande, zinazodaiwa kufanywa na...
Joan Garcia kuiwahi El Clasico Kipa wa Barcelona, Joan Garcia, huenda akarudi uwanjani, Oktoba 26, 2025 wakati wa mechi ya La Liga dhidi ya Real Madrid, kulingana na ripoti za klabu hiyo ya Catalunya.
Ziyech wa Chelsea asaini mmoja Wydad, kukipiga na Aziz KI Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Hakim Ziyech amefikia makubaliano ya kujiunga na Wydad Casablanca ya Morocco kwa mkataba wa mwaka mmoja.
Unai Emery awa mkali kisa Jose Mourinho KOCHA Unai Emery amekuwa mbogo kwa mwandishi aliyemuuliza kuhusu uwezekano wa kibarua chake kuchukuliwa na Jose Mourinho huko Arsenal.