Chelsea imemfanyia hili Sterling BAADA ya kushindwa kupata timu dirisha lililopita la majira ya kiangazi, winga wa Chelsea na England Raheem Sterling anatarajiwa kukaa nje na kufanya mazoezi ya peke yake hadi Januari na...
Partey mahakamani wiki ijayo KIUNGO wa Villlarreal na timu ya taifa ya Ghana, Thomas Partey anatakiwa kufika mahakamani kwa mashtaka ya ubakaji Septemba 15, siku moja kabla ya mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya...
Mzigo wa usajili EPL ni kufuru KLABU za Ligi Kuu England zimetumia karibu theluthi moja ya matumizi yote ya kimataifa ya usajili wa wachezaji dirisha hili la majira ya kiangazi.
Taifa Stars mzigoni tena BAADA ya kumaliza kazi kwenye Fainali za CHAN 2024 zilizoandaliwa kwa ushirikiano wa Tanzania, Kenya na Uganda, kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars usiku wa leo kitakuwa kibaruani ugenini...
Matajiri Saudi Arabia wanamtaka Andre Onana MANCHESTER United iko tayari kumruhusu kipa wake wa kimataifa wa Cameroon, Andre Onana, 29, kujiunga na klabu ya Al Nassr ya Saudi Arabia katika dirisha hili la majira ya kiangazi.
Rio ataja wawili tatizo la Man United LEJENDI wa Manchester United, Rio Ferdinand ametaja wachezaji wawili ambao anadhani wangeweza kuwaokoa Manchester United kutoka kwenye kipindi kigumu baada ya Sir Alex Ferguson kuondoka.
Mason Greenwood aidengulia Jamaica STAA wa Marseille, Mason Greenwood ameamua kutojiunga na timu ya taifa ya Jamaica kwa sababu bado ana matumaini ya kuichezea timu ya taifa ya England licha ya kupewa uraia na pasipoti mpya.
Mtoko wa Simba, Yanga 2025-26 uko hivi POINTI 82 ilizovuna katika mechi 30 ilizocheza kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2024/25 zilitosha kuwafanya Yanga kunyakua ubingwa wa nchi kwa msimu wa nne mfululizo. Katika mechi hizo 30,...
Isak awekewa ulinzi mkali Liverpool HALI ya afya ya straika ghali zaidi kwenye Ligi Kuu England, Alexander Isak itafuatiliwa kwa karibu zaidi na klabu yake mpya ya Liverpool wakati atakapokuwa kwenye majukumu ya timu ya taifa ya...
Arteta atangaza jeshi lake Ligi ya Mabingwa Ulaya KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amempiga chini Gabriel Jesus kwenye kikosi cha timu yake kitakachoshiriki mikikimikiki ya Ligi ya Mabingwa Ulaya katika hatua ya ligi msimu huu.