Taifa Stars, Niger zapishana dakika tano Zanzibar Timu za taifa za Tanzania ‘Taifa Stars’ na Niger zimepishana kwa dakika tano katika uingiaji wa kwenye eneo la kuchezea la Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar kwa ajili ya kupasha miili joto.
Kumbe Onana alitaka aongezwe mshahara KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amekasirishwa na Andre Onana baada ya kuwasilisha maombi ya kutaka mkataba mpya wakati aliporejea kwenye pre-season.
Nuno atemwa rasmi Nottingham Forest Kocha Nuno Espirito Santo amefutwa kazi kwenye kikosi cha Nottingham Forest.
Makosa 22 ya Onana yaliyosababisha Man United kufungwa MANCHESTER United imekubali kumtoa kwa mkopo kipa Andre Onana kwenda Trabzonspor baada ya kukosa imani na mkali huyo wa Cameroon.
Nyuma ya pazia mabao ya Cristiano Ronaldo SUPASTAA, Cristiano Ronaldo ameandika rekodi mpya ya dunia baada ya kufikisha mabao 140 kwenye soka la kimataifa akiwa anakitumikia kikosi cha Ureno.
Harry Kane aibua maswali Bayern Munich MTAALAMU wa soka la Ujerumani, Raphael Honigstein anaamini Bayern Munich na Harry Kane zitalazimika kukutana ili kujadili hatima ya straika huyo raia wa England.
Konate afichua siri ya Mbappe, Real Madrid BEKI wa kati wa Liverpool, Ibrahima Konate ametania kwamba Kylian Mbappe alikuwa akimpigia kila siku baada ya saa mbili baada ya kuripotiwa kwamba anajiandaa kwenda kujiunga na Real Madrid.
Kilichomponza Jose Mourinho ni hiki RAIS wa Fenerbahce, Ali Koc amefunguka uamuzi wa klabu hiyo kumfuta kazi kocha Jose Mourinho.
BAJANA ‘Nyani mzee’ aliyekwepa mishale mingi SAFARI ya Sospeter Bajana kwenye viunga vya Azam Complex imemalizika rasmi baada ya kuaga Alhamisi, Septemba 4 mwaka huu.
Morocco yaibeba Stars, ikiifumua Zambia LICHA ya kuwa nchi ya kwanza kufuzu fainali za Kombe la Dunia za 2026, Morocco jioni hii imeifumua Zambia ikiwa kwao kwa mabao 2-0 na kuilainishia Tanzania kumaliza nafasi ya pili katika Kundi E.