Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8063 results for Mwandishi Wetu :

  1. Taifa Stars, Niger zapishana dakika tano Zanzibar

    Timu za taifa za Tanzania ‘Taifa Stars’ na Niger zimepishana kwa dakika tano katika uingiaji wa kwenye eneo la kuchezea la Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar kwa ajili ya kupasha miili joto.

    ZNZ Pict
  2. Kumbe Onana alitaka aongezwe mshahara

    KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amekasirishwa na Andre Onana baada ya kuwasilisha maombi ya kutaka mkataba mpya wakati aliporejea kwenye pre-season.

    MSHAHARA Pict
  3. Nuno atemwa rasmi Nottingham Forest

    Kocha Nuno Espirito Santo amefutwa kazi kwenye kikosi cha Nottingham Forest.

  4. Makosa 22 ya Onana yaliyosababisha Man United kufungwa

    MANCHESTER United imekubali kumtoa kwa mkopo kipa Andre Onana kwenda Trabzonspor baada ya kukosa imani na mkali huyo wa Cameroon.

    ONANA Pict
  5. Nyuma ya pazia mabao ya Cristiano Ronaldo

    SUPASTAA, Cristiano Ronaldo ameandika rekodi mpya ya dunia baada ya kufikisha mabao 140 kwenye soka la kimataifa akiwa anakitumikia kikosi cha Ureno.

    RONALDO Pict
  6. Harry Kane aibua maswali Bayern Munich

    MTAALAMU wa soka la Ujerumani, Raphael Honigstein anaamini Bayern Munich na Harry Kane zitalazimika kukutana ili kujadili hatima ya straika huyo raia wa England.

    KANE Pict
  7. Konate afichua siri ya Mbappe, Real Madrid

    BEKI wa kati wa Liverpool, Ibrahima Konate ametania kwamba Kylian Mbappe alikuwa akimpigia kila siku baada ya saa mbili baada ya kuripotiwa kwamba anajiandaa kwenda kujiunga na Real Madrid.

    KONATE Pict
  8. Kilichomponza Jose Mourinho ni hiki

    RAIS wa Fenerbahce, Ali Koc amefunguka uamuzi wa klabu hiyo kumfuta kazi kocha Jose Mourinho.

    MOURINHO Pict
  9. BAJANA  ‘Nyani mzee’ aliyekwepa mishale mingi

    SAFARI ya Sospeter Bajana kwenye viunga vya Azam Complex imemalizika rasmi baada ya kuaga Alhamisi, Septemba 4 mwaka huu.

    BAJANA Pict
  10. Morocco yaibeba Stars, ikiifumua Zambia

    LICHA ya kuwa nchi ya kwanza kufuzu fainali za Kombe la Dunia za 2026, Morocco jioni hii imeifumua Zambia ikiwa kwao kwa mabao 2-0 na kuilainishia Tanzania kumaliza nafasi ya pili katika Kundi E.

    MOROCCO Pict
Previous

Page 345 of 807

Next