Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Simba yapigwa 'stop' kusajili

Muktasari:

  • Taarifa mbaya kwa mashabiki wa Simba ni kwamba Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limeifungia klabu hiyo kusajili kwa kipindi kimoja kijacho cha usajili.

Taarifa mbaya kwa mashabiki wa Simba ni kwamba Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limeifungia klabu hiyo kusajili kwa kipindi kimoja kijacho cha usajili.
Nyundo hiyo ya FIFA imekuja kufuatia shirikisho hilo kuikuta na hatia Simba kutokana na kushindwa kumalizana na beki wao wa zamani, Mghana Asante Kwasi.

Taarifa kutoka nchini Ghana zinasema adhabu hiyo kwa Simba itaanza kufanya kazi katika dirisha lijalo la usajili.

Taarifa kamili kuhusu adhabu hii endelea kufuatilia Mwanaspoti.