Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Duchu arudishwa Simba

SIMBA ina mpango wa kumrudisha beki wake wa zamani David Kameta “Duchu”  ambaye alikuwa akiichezea Mtibwa kwa Mkopo.

Duchu aliitumikia Simba na baadaye akapelekwa kwa mkopo Geita kabla  ya kuhamia Mtibwa Sugar ambapo mkataba wake na Simba ulitarajiwa kumalizika mwishoni mwa msimu huu.

Hivi karibuni inaelezwa kuwa Simba walizungumza na Duchu na kumpa mkataba wa miaka miwili na sasa amemaliza mkataba wake wa mkopo na Mtibwa Sugar na kurudishwa klabuni ambapo msimu ujao atawania namba na Shomary Kapombe.