Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Yvonne amkana kabisa Adebayor

Yvonne

YVONNE Nelson amedai kuwa magazeti ya Ghana yanapotosha mashabiki na wala si kweli kwamba ana ujauzito wa mshambuliaji wa Totenham Emanuel Adebayor. Wanakaa tu wanapika stori kuhusu mimi, angalia kwa mfano sasa wanasema nina mimba ya Adebayor, wanapata wapi habari kama hizi? Nimewahi kukutana na Adebayor mara moja tu na wala sina uhusiano naye sasa watu wanatoa wapi hizo stori. Ndio maana huwezi kuniona nikifanya mahojiano na mwandishi yoyote, kwavile nikifanya au nisipofanya wataenda kuandika vitu ambavyo sijasema, nimewahi kuzungumza na waandishi wawili tu Ghana. Kuna filamu natengeneza nimeigiza kama mwanamke mjamzito, picha zimeonekana kesho yake wanasema nina mimba,anashangaa Yvonne.