Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Wema afunguka mashabiki wake ‘walivyomchana’

WEMA Pict

Muktasari:

  • Wema alisema miaka ya nyuma aliwahi kufanya hivyo na mashabiki zake kumjia juu na baadhi walimytukana huku wengine wakimchana hapendizi na mkorogo.

MSANII wa Bongo Movie, Wema Sepetu amefunguka alichokigundua ni mashabiki wake hawapendi atumie mkorogo.

Wema alisema miaka ya nyuma aliwahi kufanya hivyo na mashabiki zake kumjia juu na baadhi walimytukana huku wengine wakimchana hapendizi na mkorogo.

“Mimi hakuna kitu napenda kama kuwasikiliza mashabiki zangu wa kweli ambao huwa wananisapoti kwenye kazi zangu na hata jambo langu, hivyo kipindi cha nyuma nilijuta kuichezea ngozi yangu kwa kutumia mkorogo, ila niliona bora niache kufanya hivyo na hii ni kutokana na mashabiki kunishambulia sana mitandaoni kila nilipokuwa napojaribu, yaani mashabiki zangu hawakuwa wanataka kabisa nitumie.”

“Na niliona wako sahihi wala sikuchukizwa nao, maana kutumia mkorogo hatima yake ni kupoteza urembo wako wa asili uliokuwa nao mwanzo kabla ya kuanza kujichubua,” alisema Wema.