PRIME Simba hii unatokaje kwa mfano! NI sahihi kusema Simba pale mbele imeenea. Kocha wa Simba, Olivier Robert Robertinho amesisitiza kwamba msimu huu ni bandika bandua na mashabiki wataanza kujionea wikiendi hii kwenye Simba Day...
Siku saba tu Simba kuvuna Sh60 milioni KIKOSI cha Simba juzi usiku kilikuwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam ikikata tiketi ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa kuichapa USGN ya Niger, huku mastaa wa...
PRIME Acha kiwake Simba, Yanga zategeana Airport NI suala la muda tu Ligi Kuu Bara itaanza rasmi mwezi ujao kwa timu 16 kutafuta bingwa wa msimu wa 2023/2024. Tayari baadhi ya timu zimeshaanza kukiwasha baada ya mapumziko ya zaidi ya mwezi...
PRIME Sintofahamu kupewa uraia wa 'mchongo' wachezaji Singida Wachezaji waliopewa uraia ni Emmanuel Keyekeh, ambaye ni raia wa Ghana, Josephat Bada wa Ivory Coast na Muhamed Camara kutoka Guinea.
PRIME Gamondi aibua shangwe lingine Yanga KILICHOFANYWA na Yanga jana katika Mkutano Mkuu wa klabu hiyo ni kama imewatangazia wapinzani kuwa, ile tabu waliyokutana nayo msimu wa 2023-2024 wasidhani imesha badala yaje wajue mapema bado...
PRIME Utamu upo kati Azam vs Simba Ni pambano lenye mvuto na msisimko wa aina yake kutokana na ushindani uliopo baina ya timu hizo tangu Azam ipande Ligi Kuu mwaka 2008. Kuanzia saa 2:30 usiku pale New Amaan Complex, moto utawaka.
OLIMPIKI 2024: Tumevuna tulichopanda ACHA niwe mkweli tu, tangu mwanzo binafsi niliamini timu yetu ya Tanzania iliyoshiriki Michezo ya 33 ya Olimpiki huko Paris, Ufaransa iliyomalizika Jumapili ya wiki iliyopita ilikuwa dhaifu sana,...
Tido Mhando afichua kilichoiponza Tanzania Olimpiki - 1 ACHA niwe mkweli tu kwamba tangu mwanzo niliamini binafsi timu yetu ya Tanzania iliyoshiriki Michezo ya 33 ya Olimpiki huko Paris, Ufaransa iliyomalizika Jumapili ya wiki iliyopita ilikuwa dhaifu...
Heri ya uzee wa kina Chama, kuliko ubishoo wa wazawa! NI kweli tunadanganywa. Na tunajua kabisa tunadanganywa na nyota wa kigeni wanaokuja kucheza soka la kulipwa hapa nchini. Tunajua wengi huwa na umri mkubwa zaidi ya ule uliopo katika pasipoti zao.
Yes! Samia na michezo damdamu UTASEMA nini kuhusu michezo hususani soka, bila kulitaja jina la Sais Samia Suluhu Hassan.