Serengeti Girls kuonja tamu, chungu ya VAR Kombe la Dunia TIMU ya Taifa ya Wasichana wenye umri chini ya miaka 17 ‘Serengeti Girls’, itaiwakilisha nchi katika fainali za Kombe la Dunia zilizopangwa kufanyika India kuanza Oktoba 11 hadi 30 mwaka...
MTU WA MPIRA: Sasa Ulaya tunataka aende huyu Kibwana Shomari? Ilipokufa Ze Komedi Shoo. Ilivyokufa Orijino Komedi. Ilivyokufa Futuhi. Nikadhani vichekesho vimeisha Tanzania. Kumbe ndio kwanza vimehamia kwenye soka. Ni ajabu na kweli. Ni rasmi sasa...
PRIME Dabo kuleta Double Impact Azam FC DOUBLE Impact ni filamu ya kibabe iliyotamba sana miaka ya 1990 iliyochezwa na Jean-Claude Van Damme aliyetumia jina la Chad, sambamba na Bolo Yeung, aliyecheza kama Alex Wagner. Hii ilikuwa...
Molinga afunguka kwanini ametua Namungo WAKATI klabu za Ligi Kuu Bara zikikamilisha usajili saa chache kabla ya dirisha la usajili kufungwa, Namungo FC ilimtambulisha mshambuliaji kutoka DR Congo, David Molinga katika ukurasa wa...
Geay apata Sh200 milioni kwa saa mbili JANA, tuliishia sehemu ambayo Geay anazungumza kuhusu mbio za Boston ambazo zimempa umaarufu mkubwa, leo anaendelea kuzungumza kuhusu mbio hizo, na bei ya kiatu alichovaa siku hiyo. KUHUSU...
Mechi 7 za ubingwa Yanga hizi hapa USHINDI wa mabao 2-0 dhidi ya Coastal Union ugenini juzi huko Tanga umeifanya Yanga izidi kujikita kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ikifikisha jumla ya pointi 32. Matokeo hayo hapana shaka...
Matola -11 : Mimi ni bosi wa vijana Simba JANA tuliona Kocha Msaidizi wa Simba, Suleimani Matola akizungumza kuhusu jinsi ambavyo wamekuwa wakijiandaa na michezo dhidi ya Yanga, alizungumza kuhusu mabadiliko ambayo yapo kwa sasa na jinsi...
PRIME MTU WA MPIRA: Hata Simba walimwogopa Yusuf Manji YANGA imepita katika nyakati nyingi. Imepita katika nyakati ngumu na za neema. Imepita safari ndefu kufika hapo ilipo leo. Nani anamkumbuka Marehemu Abbas Gulamali. Huyu anatajwa kuwa miongoni...
PRIME Karihe anastahili saluti pale Yanga MCHEZAJI yeyote anaweza kutengeneza jina lake kutokana na mafanikio yake ambayo amekuwa akiyapata akiwa uwanjani. Hili ni jambo la kawaida kwa wanasoka, kuna wengine wana majina makubwa, lakini...
Afrika Kaskazini ilivyojenga utawala wake Afcon Fainali za mataifa ya Afrika (Afcon), 2023 zinaendelea huko Ivory Coast na sasa zinakaribia kumaliza raundi ya pili ya hatua ya makundi kabla ya kuanza kwa raundi ya tatu na ya mwisho. Haya...