Mama Uwoya hamtaki mkwe Dogo Janja Oktoba 28 mwaka jana Dogo Janja(23) na Uwoya(29) walifunga ndoa ya siri ilizua gumzo kutokana na kuwepo kwa utofauti mkubwa wa umri kati yao.
Hesabu kali KATIKA toleo lililopita, tuliona kwenye mfululizo wa Kitabu cha Pep Confidential, Mwandishi Marti Perarnau akizungumza na Carles Planchart, kiongozi wa wachambuzi na wanaofanya tathmini ya...
JICHO LA MWEWE: Msikilize mchambuzi wa soka Rooney WAINGEREZA wa Skysport walimuweka, Wayne Rooney kuwa Mchambuzi katika pambano la Watford dhidi ya Chelsea pale Vicarage Road.
Simba yaibukia kwa Mfaransa Miamba hiyo ya Tanzania inasaka kocha mwingine wa kiwango cha juu baada ya kumtimua Joseph Omog
Taswa yalaani kitendo cha Chirwa kumpiga mwanahabari Chama Cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) na wahariri wa habari za michezo nchini kimelaani kitendo cha kushambuliwa kwa mwanahabari John Dande, zinazodaiwa kufanywa na...
STRAIKA WA MWANASPOTI: Kuchaguana kwa kujuana kunaturudisha nyuma Timu zetu za taifa kwa mara nyingi haswa nchini Kenya zimekuwa hazifanyi vyema katika mashindano ya barani Afrika kisa na maana vikosi vimekuwa vikichaguliwa kulingana na vile watu wanajuana.
Hata makocha uvaaji saa wanauthamini SIKU hizi kila mwanadamu analofanya linaangaliwa sana kuliko zamani. Tukichukulia michezo, zamani Tanzania tulisikia tu majina ya wachezaji kama Bobby Moore, George Best, Pele na Diego Maradona.
SHILAWADU: Kwa umbea wamezidi INASEMEKANA kwamba Soud Brown na Kwisa ndiyo Watanzania wambea zaidi nchini. Hii ni kwa sababu, jamaa hawapitwi na jambo. Kila lifanywalo na staa yeyote wao wanalo na kulisambaza kwa wapenzi na...
Simiyu yang’ara kitaifa ukuaji shule binafsi za Sekondari Kwa mujibu wa takwimu za msingi za elimu kwa mwaka (BEST) 2015 zilizotolewa Septemba 2015, mkoa wa Katavi umeshika nafasi ya pili ukiwa na ukuaji wa asilimia 50. Katika takwimu hizo, Shinyanga...
Tuirudishe Simba yetu kwenye mstari WAKATI wa uongozi wa Mwenyekiti, Ismail Aden Rage, Simba tulikuwa na furaha kwa misimu miwili tu. Mwaka 2011, wakati tuliposhiriki Ligi ya Mabingwa Afrika ingawaje tulitolewa na TP Mazembe...