Anderson achimba mkwara akitua Etihad MANCHESTER City imetangaza rasmi kumsajili kiungo wa kimataifa wa England, Elliot Anderson, kutoka Nottingham Forest kwa ada ya pauni 116 milioni.
LeBron James abadili soko la NBA BAADA ya wiki kadhaa za tetesi na mijadala mikubwa, hatimaye nyota wa NBA, LeBron James amefanya uamuzi uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu duniani kote kwa kutangaza kujiunga na Philadelphia 76ers.
NIONAVYO: Robo fainali ya Simba, Yanga bado kitendawili ya mwishoni mwa juma hili inaweza isitoe mustakabali wa ni timu zipi zitafuzu robo fainali lakini inaweza kutoa mwanga wa nani ataenda nani atabaki. Mwandishi wa Makala hii ni katibu mkuu...
NIONAVYO: CAF ijitenge na uhuni huu isafishe taswira yake kabla haijachafuka zaidi. Hatua zichukuliwe sasa kuua utamaduni huu wa kihuni. Mwesigwa Joas Selestine 0624 620943 Mwandishi wa makala hii ni Katibu Mkuu mstaafu wa...
PRIME NIONAVYO: Kuna mahali kuna tatizo, sio hawa nyota wa kigeni hapa kutokana na ubora wao kunaweza kuchochea mapenzi na vipaji vya vijana wetu. Kuacha kuemea nje hakuwezi kuondoa njaa kama hakuna juhudi za kuzalisha chakula nyumbani. NB: Mwandishi wa...
PRIME NYUMA YA PAZIA: Tuliwapelekea Hazard wameturudishia majanga ILIKUWA hadithi nzuri na ya kusisimua ambayo mwandishi wake alikuwa mahiri, akaiandika vizuri mwanzo lakini akaimaliza ovyo. Hadithi ya Eden Hazard na mpira. Hadithi ya sisi na Eden Hazard.
NIONAVYO: Utalii wa michezo ndo huu hapa, tujipange sawasawa wakivutiwa na miundombinu ya michezo na zaidi uwepo wa Uwanja wa Benjamin Mkapa. Mwandishi wa Makala hii ni katibu mkuu wa zamani wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania. Unaweza kumtumia...
NIONAVYO: Afcon 2023 inafikirisha kuliko kawaida wakati wenyewe wanatembea. Sitashangaa na sasa ni dhahiri kwamba timu ambayo haikupewa nafasi kubwa na mashabiki, wachambuzi na wataalamu wa mpira itaweza kuchukua Kombe la mataifa ya Afrika pale...
NIONAVYO: Weledi ni muhimu katika usimamizi wa wanamichezo matendo ya leo. Mwandishi wa makala hii ni mzoefu katika miradi ya maendeleo, utawala na biashara katika michezo na nyanja nyingine. Ametumikia nyadhifa mbalimbali katika vilabu, Shirikisho...