Yanga, Azam ya sura mpya ASILIMIA kubwa ya sura za mechi ya leo ya Yanga na Azam ni mpya tofauti na msimu uliopita. Yanga na Azam mara ya mwisho walikutana Aprili 25 mwaka huu na Yanga kukubali kipigo cha bao 1-0 hadi...
PRIME Inonga aamua kuondoka Simba KWA Kiswahili cha kijiweni wanasema; “Imeisha.” Beki kitasa cha Simba aliyeng’ara na DR Congo kwenye Afcon, amefanya uamuzi wake kimyakimya na akapiga kimya vilevile. Na uamuzi huo unamaanisha...
PRIME Waarabu watua kumng'oa Benchikha TAARIFA ambayo mabosi wa Simba na mashabiki wao watachekelea kuliko ni hii ya kocha Abdelhak Benchikha kuchomoa kwa mara ya pili ofa ya kuifundisha timu ya taifa lake, yaani Algeria. Amekataa...
JIWE LA SIKU: Ronaldo? Hazard anatafuta kiki mjini LONDON, ENGLAND. MDAHALO wa nani zaidi, Cristiano Ronaldo na Lionel Messi umechukua sura mpya. Kumpata mshindi ni shughuli pevu. Vita yao ni kali. Mmoja amebeba Ballon d’Or tano, mwingine...
Shabiki wa Simba, Man Utd ashinda Sh173 milioni Dar es Salaam. Shabiki wa klabu ya Simba na timu ya Manchester United ya England Seif Babu amefunga droo ya Perfect12 ya kampuni ya M-Bet kibabe baada ya kushinda Sh173 milioni kwa kubashiri...
Yanga na rekodi zake tamu CAFCL Yanga imefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa mara kwanza kwenye historia ya klabu hiyo, baada ya kuichapa CR Belouizdad mabao 4-0 kwenye Uwanja wa Mkapa
PRIME Mo atuliza presha Simba Wakati timu ya Simba ikiwa imebakiza kuwania kombe moja tu msimu huu, Rais wa Heshima wa klabu hiyo, Mohamed Dewji ‘Mo’ amewasiliana na benchi la ufundi na wachezaji wote wa timu hiyo, akitaka...
Ihefu yaongeza presha ya Derby MKWAJU wa penalti uliopigwa na kiungo mshambuliaji, Clatous Chama dakika ya 72, umeisaidia Simba kupata sare ya bao 1-1 ugenini mbele ya Ihefu katika pambano la Ligi Kuu Bara, ikiifanya timu hiyo...
Picha hii ina ujumbe mzito Ni jambo ambalo huwa nadra kutokea katika ligi yetu lakini juzi katika Uwanja wa Liti, Singida tumelishuhudia. Baada ya mechi ya Simba dhidi ya Ihefu SC kumalizika kwa sare ya bao 1-1, Kocha...
PRIME Ripoti ya Gamondi yashtua Yanga LICHA ya mazoea yaliyopo ya ripoti za makocha kutolewa mwishoni mwa msimu kwa upande wa Yanga mambo ni tofauti baada ya kocha mkuu wa timu hiyo, Miguel Gamondi kuwasilisha mapema ripoti kwa...