Spurs, West Ham nani kubaki EPL? MBIO za ubingwa wa Ligi Kuu England zimekwisha baada ya Arsenal kubeba wiki iliyopita, lakini vita vya kushuka daraja bado vibichi baada ya Burnley kuhitimisha msimu wake mmoja katika mashindano...
Tottenham yaongeza nguvu kuisaka saini ya Savinho TOTTENHAM Hotspur wamefufua tena nia yao ya kumsajili winga wa Manchester City na Brazil, Savio Moreira de Oliveira maarufu Savinho, 22, katika dili linaloweza kufikia Pauni 60 milioni, baada ya...
Peabo Bryson afariki dunia akiwa na miaka 75 Tasnia ya muziki wa R&B imepata pigo kufuatia kifo cha mwanamuziki mkongwe, Peabo Bryson, aliyefariki dunia juzi Jumanne, akiwa na umri wa miaka 75.
Huyu ndo Artan aliyeondolewa Kombe la Dunia KWA mujibu wa taarifa kutoka Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), imesema kuwa mwamuzi wa Somalia, Omar Abdulkadir Artan ameondolewa kuchezesha Fainali za Kombe la Dunia 2026 na shirikisho...
Leao aendelea kuitesa Man United, ikipanga kuvunja benki MANCHESTER United imeweka jina la winga wa AC Milan na Ureno, Rafael Leao (26), kwenye orodha ya wachezaji inaowahitaji kwa udu na uvumba, ikiwa ni siku chache baada ya kuelezwa kwamba klabu...
Orodha ya wachezaji ghali Kombe la Dunia 2026 KADRI Kombe la Dunia 2026 linavyokaribia, thamani za soko za baadhi ya nyota wa soka duniani zinaendelea kupaa na kuonyesha ukubwa wa vipaji vinavyotarajiwa kung'ara katika mashindano hayo.
Baada ya Mexico, sasa ni zamu ya Canada na Marekani BAADA ya kushuhudia wenyeji wenza wa fainali za Kombe la Dunia, Mexico wakitoana jasho dhidi ya Afrika Kusini katika mchezo wa ufunguzi, macho ya mashabiki sasa yanaelekezwa nchini Canada ambako...
Njia ya Knicks kurejea fainali baada ya miaka 27 BAADA ya kusubiri kwa miaka 27, hatimaye New York Knicks imerejea katika ngazi kubwa zaidi ya mpira wa kikapu duniani, Fainali za NBA.
Jonas Adjetey; Fundi wa kupaka rangi aliyemzuia Harry Kane Kombe la Dunia FAINALI za Kombe la Dunia 2026 zimeendelea kutoa simulizi nyingi za kusisimua, matokeo ya kushangaza na hadithi za kuvutia, lakini simulizi ya Jonas Adjetey ni miongoni mwa zile zinazogusa zaidi...
England yahaha kumzuia Erling Haaland BEKI wa England, Marc Guehi amesema anafurahia changamoto ya kumkabili mshambuliaji hatari wa Norway, Erling Haaland, lakini rekodi yake dhidi ya nyota huyo inaonyesha kazi inayomsubiri si rahisi...