Tisa kusepa Yanga Princess MSIMU ujao huenda Yanga Princess ikakosa huduma ya wachezaji wake tisa walioitumikia misimu kadhaa nyuma. Taarifa za kuaminika kutoka ndani ya timu hiyo zinaeleza ripoti ya kocha wa kikosi...
MTU WA MPIRA: Kuna ushamba mwingi kwenye usajili Bongo USAJILI kwa timu za Ligi Kuu umeshika kasi. Kila timu inajipambanua kushusha kifaa kipya. Kila timu inajinasibu kushusha wachezaji wa maana zaidi ya wapinzani wao. Kasi ni kubwa zaidi kwa Simba,...
Watano Simba kutua leo Misri, wapya watatu kutambulishwa wiki ijayo SIMBA tayari imeshatua hapa Ismalia na kufikia hoteli ya kishua ya Mercure Ismailia Forsan Island tayari kwa kambi ya wiki tatu kabla ya kurejea Tanzania Agosti 5. Lakini kama hukumbuki ni kwamba...
Yanga haiendi kokote, kujifua Dar Licha ya klabu za Simba na Azam FC kutimkia nchini Misri kwa ajili ya kuweka kambi za maandalizi ya msimu ujao, upande wa Yanga mambo ni tofauti.
Mkomola anukia Bongo STRAIKA Yohana Mkomola anayekipiga katika klabu ya Vorskla Poltava ya nchini Ukraine anatajwa yupo mbioni kujiunga na timu za Ligi Kuu kwa mkopo.
Nabi ashusha sapraizi Yanga Nabi yuko kwao likizo, lakini ameliambia Mwanaspoti kwamba ana sapraizi mbili za kumalizia usajili kwenye benchi lake la ufundi. Anataka mtaalam wa kusoma video za wapinzani ambao ni wazi kwamba...
Yassin amtibulia Gadiel kwa Singida SIMBA ilikuwa na mipango ya kumtema Gadiel Michael ili imvute, beki wa kushoto wa Polisi Tanzania, Yahya Mbegu, lakini dili hilo limekufa. Wameamua kumbakisha kikosini.
Simba yaenda Misri kwa mafungu KIKOSI cha Simba kimeondoka nchini leo Julai 14 mchana kwenda nchini Misri huku katika msafara wao walikuwepo wachezaji 19, benchi la ufundi pamoja na kiongozi mmoja ambaye ni Meneja wa habari na...
Ushahidi waanza kesi ya Manara v Karia MASHAHIDI waanza kutoa ushahidi wa tukio la Msemaji wa Yanga Haji Manara dhidi ya Rais wa Shirikisho la soka Tanzania (TFF), Wallace Karia.
ZA NDAANI KABISA: Mtibwa yaziiga Simba SC, Yanga SC BAADA ya kuusotea ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa zaidi ya miaka 22, klabu ya Mtibwa Sugar, imepanga kufanya usajili wa kuhusisha nyota wa kigeni, ili waipige tafu ikiziiga Simba, Yanga na Azam...