PRIME Yanga yatibua dili la Fei Simba TANGU atambulishwe na Azam FC Juni 8, 2023, baada ya kusaini mkataba wa miaka mitatu, nyota Feisal Salum almaarufu Feitoto, amekuwa akihusishwa na klabu mbalimbali ndani na nje ya nchi.
Upande huu Joh Makini ana dunia yake! POPOTE duniani muziki wa Hip Hop na RnB unapokutana inazaliwa ladha moja ya kipekee masikioni mwa msikilizaji na umekuwa ni utamaduni wa miaka mingi kwa wasanii wanaofanya aina hizo za muziki...
JIWE LA SIKU: Hata Yanga hawakuitaka Mamelodi Sundowns Kuna nyakati huwa unaona kama dunia imekuangukia. Ni kama nyakati hizi ambazo Yanga imepangwa kucheza na Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini katika mechi za robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Ni kweli Simba inampa hasara Mo Dewji? KUNA mjadala mkubwa unaendelea huko mitandaoni kuhusu Mwekezaji wa Simba, Mohamed Dewji. Ni mjadala mkubwa. Mjadala huu umechagizwa na kauli ya Mo Dewji kuwa ameinunua Simba miaka mitano iliyopita.
Maskini Mr Ibu kaondoka na kipaji chake MWIGIZAJI na mchekeshaji maarufu wa filamu za Kinaijeria, John Okafor 'Mr Ibu' amefariki dunia jana Jumamosi wakati akipatiwa matibabu hospitalini jijini Lagos, Nigeria. Taarifa kutoka nchini...
Nionavyo: Hizi kambi za pre-season ni muhimu kwa klabu KWA miongo mingi sasa umekuwa utamaduni wa klabu kufanya kambi za kujiandaa na msimu mpya maarufu kama pre season.
Azam FC moto, yabeba ndoo Kigali WAWAKILISHI wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Azam FC imeendelea kukunjua makucha baada ya juzi usiku kupata ushindi wa bao 1-0 na kubeba ubingwa ikiwa jijini Kigali, Rwanda.
HATARI...! Blanco amvunja kidole kipa kwa mashuti UNAWEZA usiamini, lakini ndio ukweli ulivyo. Mshambuliaji mpya wa Azam FC, Jhonier Blanco hafai kwa matumizi ya makipa. Hivi ndivyo unavyoweza kusema kumhusu raia huyo wa Colombia.
Bodi ya Ligi haitaki watu wafurahi? TANZANIA ni ya 131 duniani kwenye korodha ya nchi zenye furaha, kati ya nchi 143 zilizopo duniani.
TFF isinyamazie kabisa vitendo hivi vya kihuni SOKA ni mchezo wa furaha, amani na urafiki, ndiyo maana mara zote Shirikisho la Soka Duniani (Fifa) limekuwa likihimiza mchezo wa kiungwana (fair play).