Aziz Ki amvuta Chama Yanga HIVI karibuni kuna jambo kubwa kwenye soka linakwenda kutokea. Achana na ubingwa wa Yanga ambayo inaweza kutangaza leo, lakini kuna lingine ambalo linalomhusisha staa wa Simba, Mzambia Clatous...
PRIME SI MCHEZO: Navy Kenzo miaka 16 sasa, bado wapo wapo! HII ni habari nyingine kutoka kwa wasanii wa muziki wa Bongo Fleva wanaounda kundi la Navy Kenzo, kutimiza miaka 16 ya uchumba bila ya kusikia migogoro ya kuachana wala kugombana.
SI MCHEZO: Navy Kenzo miaka 16 sasa, bado wapo wapo! HII ni habari nyingine kutoka kwa wasanii wa muziki wa Bongo Fleva wanaounda kundi la Navy Kenzo, kutimiza miaka 16 ya uchumba bila ya kusikia migogoro ya kuachana wala kugombana.
Kina Pacome walivyozoa Sh7 bilioni Yanga Hii ina maana kuwa Yanga ambayo ilipata Sh2.3 bilioni baada ya kufika robo fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, kama ingemaliza kwenye tegeti yao ya hatua ya makundi basi ingekuwa na...
Washambuliaji wanavyozibeba timu Ligi Kuu Ligi Kuu ya NBC imesimama kwa muda wa miezi miwili ili kupisha michuano ya Kombe la Mapinduzi inayofanyika kisiwani Pemba na pia kupisha Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa ligi za...
PRIME Kuna dalili zote Yanga, Gamondi njia panda MATOKEO ya kupoteza mechi mbili mfululizo yaliyofuata baada ya Yanga kushinda mechi nyingi kwa taabu tofauti na ubora wa kikosi cha timu hiyo iliyojaa mafundi wa boli, yamezua jambo kwa kocha...
PRIME Kwa usajili huu Simba, Moo kuvunja benki BILIONEA wa klabu ya Simba, Mohammed ‘Mo’ Dewji atalazimika kuvunja benki ili kuinasa saini ya kiungo mshambuliaji Abdelhay Forsy aliyependekezwa na kocha Fadlu Davids, kutokana na ukweli ndiyo...
Namba za Dube zinavyomtofautisha na Baleke, Musonda, Mzize BENCHI la ufundi la Yanga, limekuwa likimpa nafasi kubwa ya kucheza Prince Dube kulinganisha na washambuliaji wengine, lakini tathmini ya takwimu za kufumania nyavu baina yao zina maajabu yake.
PRIME Yanga, mtego wa waarabu upo hapa! YANGA inatarajiwa kushuka uwanjani kesho Jumamosi katika mchezo ulioshikilia hatma ya kwenda robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa mara ya pili mfululizo na ikichemsha kwa kutoka sare ya...
Albam mpya ya Marioo 'The God Son' na tumaini jipya MWIMBAJI wa Bongofleva, Marioo ameachia albamu yake ya pili, The God Son (2024) ikiwa na nyimbo 17, ahadi yake aliyoitoa katika Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) 2023 ni kwamba mradi huo utashinda...