Man United yavamia dili la Viktor Gyokeres LICHA ya mchezaji mwenyewe kuonyesha nia ya kutaka kujiunga na Arsenal pekee, inaelezwa Manchester United imeingia katika vita dhidi ya Arsenal na kutaka kuwasilisha ofa ili kuipata huduma ya...
Sheria, teknolojia mpya kupamba Kombe la Dunia la Klabu SHERIA mpya na teknolojia mpya inafanya fainali za Kombe la Dunia za Klabu kuwa na mvuto tofauti kabisa kisoka tofauti na ilivyokuwa imezoeleka miaka ya nyuma.
PRIME Sowah, Sillah kuwachomoa wawili Yanga KUNA hesabu Kali ambazo Yanga inazipiga kibabe ndani ya kikosi chao cha msimu ujao wakitaka kuingiza silaha za maana ndani ya mziki wao lakini kuna wawili lazima waachie nafasi fasta ili dili...
PRIME Simba yafanya umafia Misri, yapangua mambo matatu SIMBA imeendelea kufanya umafia kwenye michuano ya kimataifa baada ya kumaliza kazi mapema kabla ya mchezo wao wa kwanza wa hatua ya robo fainali dhidi ya Al Masry ya Misri, huku ikipangua mambo...
Nyuma ya mafanikio ya Lewis-Skelly kuna Marcia Lewis Septemba 22, 2024, itabaki kwenye historia ya soka, hasa la England, kama moja ya siku za kipekee na kukumbukwa sana.
Mayele aondoa gundu CAF NYOTA wa zamani wa Yanga anayekipiga kwa sasa Pyramids ya Misri, Fiston Mayele jioni hii amefunga mabao mawili yakiwa ni ya kwanza kwake katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, wakati timu...
ADEBAYOR: Ndoto ya Kariakoo iliyokamilika Singida MIAKA ya hivi karibuni, klabu ya Arsenal Uingereza imekuwa na tabia moja isiyoeleweka pale dirisha la usajili linapofunguliwa.
Simbu ajilipua Olimpiki 2024 NAHODHA wa Tanzania katika Michezo ya Olimpiki, Alphonce Simbu ni kama amejilipua kwa kuahidi kwamba safari hii ataingia kwenye tatu bora ya michezo hiyo inayofanyikia Paris Ufaransa.
Yanga, Nabi kazi ipo Sauzi YANGA itacheza mchezo wa mwisho wa kirafiki wa kimataifa leo Jumapili ambao ni wa kuwania Kombe la Toyota ikikutana na wenyeji, Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini, lakini ikitarajiwa bato ya aina...
KUMEKUCHA...Sven ahesabiwa siku Simba MAMBO yameshatibuka huko, unaambiwa Kocha Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck kwa sasa ni kama anahesabiwa siku tu ndani ya kikosi hicho, kabla ya kufurushwa kwa kile kilichoelezwa kushindwa...