PRIME Nyota 6 kufunga usajili Simba wataweka hadharani wengine. "Tumefanya usajili mzuri na bado kuna vifaa vingine vitatambulishwa hivi karibuni. Kuna mchezaji mkubwa tuliyemsajili kutoka timu kubwa Afrika naye atakuwa...
PRIME Dabo kuleta Double Impact Azam FC DOUBLE Impact ni filamu ya kibabe iliyotamba sana miaka ya 1990 iliyochezwa na Jean-Claude Van Damme aliyetumia jina la Chad, sambamba na Bolo Yeung, aliyecheza kama Alex Wagner. Hii ilikuwa...
PRIME WCB Wasafi walivyonogewa na Amapiano! Kwa miaka minne sasa muziki wa Amapiano unazidi kuchukua nafasi kubwa katika Bongofleva, huku wasanii WCB Wasafi wakiamua kwenda sambamba na upepo huo mithili ya samaki na maji, inaonekana ni...
PRIME Djuma 'amwaga chozi' Yanga Juzi mchana wakati unapiga ugali wako, Yanga walikuwa wanakamilisha tukio muhimu kwao. Walikuwa wanakamilisha usajili wa beki wa kulia wa ASEC Memosas, Kouassi Yao. Lakini Djuma Shaaban ndiyo...
PRIME Gamondi aanza kambi kimkakati KULE kambi ya Yanga AVIC Town kuna kazi ya kiume imeanza ambapo kocha mpya wa timu hiyo, Miguel Gamondi na jamaa kama wachezaji wa kikosi chake watashika anachotaka kifanyike kuna soka kubwa...
PRIME Acheni Mayele aidengulie Yanga MASHABIKI wa Yanga kwa sasa akili hazijatulia, hii ni kutokana na vuta nikuvute iliyopo baina ya klabu hiyo na straika Fiston Kalala Mayele. Mwamba huyu aliyemaliza kama kinara wa mabao wa Yanga...
Yanga yamnasa juu kwa juu aliyekuwa akisakwa na Simba KAMA Kocha Miguel Gamondi ataridhia wiki hii mazoezini kwamba Djuma Shabaan apigwe chini, viongozi watashusha chuma kingine fasta ambacho inadaiwa hata Simba walikitamani. Mwanaspoti...
PRIME Mkude aikataa jezi ya feitoto Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara Yanga wamerudi kazini jana. Kocha wao mpya Miguel Gamondi atakutana na mastaa wake tayari kuseti mitambo tayari kwa kuliamsha dude.
PRIME Mgunda mguu ndani, mguu nje Simba Wakati msafara wa Simba ukiondoka juzi kuelekea Uturuki ambako utaweka kambi ya siku 20 kujiandaa na msimu mpya, hatima ya kocha msaidizi Juma Mgunda iko kwenye mabano baada ya kushindwa kusafiri...
Mgunda Simba bado hakijaeleweka Hatima ya kocha msaidizi wa klabu ya Simba SC, Juma Mgunda, inaning’inia, ndani ya timu hiyo. Mgunda, aliyejiunga na klabu hiyo Septemba 7 mwaka jana, hakujumuishwa kwenye kikosi cha timu hiyo...