PRIME Waziri Jr, Moalin kizungumkuti, TFF kimya Licha ya kumtambulisha mchezaji bora wa mwezi Septemba katika Ligi Kuu, mshambuliaji wa Kmc, Waziri Junior bado hajapata tuzo yoyote ile hadi sasa ikiwa imebaki siku moja tu kuingia mwezi Novemba.
PRIME Maxi apewa gari mpya, afunguka mikakati kuiua Simba YANGA iko kambini kwaajili ya maandalizi ya kukutana na watani wao wa jadi Simba, kiungo wao Maxi Nzengeli amepata mzuka wa aina yake haswa kutokana na kiwango chake cha sasa huku akisema mechi...
Diamond: Nilitoa zaidi ya Sh4 bilioni kununua ndege, nikatapeliwa Baada ya kutua Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga leo Oktoba 29, staa wa bongoflava Diamond Platnumz amefunguka kuhusu ishu ya ndege yake binafsi (private jet) aliyotaka kununua. "Ishu ya ndege...
Yanga yalaani shabiki kupigwa Uwanja wa Mkapa Kupitia mitandao ya kijamii kumesambaa video ikionyesha shabiki aliyevaa jezi ya Yanga akishambuliwa na mashabiki waliovalia jezi za Simba katika Uwanja wa Mkapa. Mwanasheria wa Yanga, Simon...
Majaliwa aipa miezi sita GGML kukamilisha ujenzi uwanja wa mpira Geita sheria ya madini kuhusu kipengele hicho cha CSR, kwa mfano katika hili suala la ujenzi wa uwanja wa mpira Magogo mnatakiwa kumalizia kulitekeleza haraka ndani ya miezi sita,” alisema Majaliwa...
NIONAVYO: Darasa kutoka African Football League kuchezea mpira.Uwanja bora ni muhimu kwa timu kucheza soka bora. Serikali imeahidi kujenga viwanja vipya na kuboresha vile vilivyopo na kama hilo litaatokea basi utakuwa mwanzo wa kukua kwa ubora...
Namungo yawachunia makocha 10 wapya UONGOZI wa Namungo umesema licha ya kupokea maombi mengi ya makocha kutoka ndani na nje ya Tanzania kutaka kuinoa timu hiyo, lakini hautakurupuka haraka isipokuwa kwa sasa majukumu ya benchi la...
Mkude aishtaki METL, ataka fidia Sh1 bilioni Mchezaji wa Klabu ya Yanga, Jonas Mkude amefungua kesi katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam akiidai Kampuni ya Mohamed Enterprises Tanzania Limited (METL) fidia ya Sh 1 bilioni kwa kutumia...
Metacha akitibua Yanga KIPA wa Yanga, Metacha Mnata ameshakitibua tena pale Yanga na sasa amewekwa kando na kikosi hicho kwa madai ya utovu wa nidhamu. Inaelezwa kipa huyo ameingia kwenye utata wa nidhamu baada ya...
Nidhamu yambeba Mandonga kushiriki katika ngumi za kulipwa na amekuwa akijihimarisha na kuwa bondia maarufu zaidi nchini katika mchezo huo. Alisema haikuwa kazi kubwa kwao kumchagua Mandonga kuwa balozi wa maduka na...