PRIME Benchikha ahamia kwa wazawa usajili Simba KOCHA wa Simba, Abdehack Benchikha amebadili gia ya usajili kwenye timu hiyo na sasa amesema anataka kupata wachezaji bora wazawa na wawili tu wa kigeni. Simba ilikuwa inatarajiwa kufanya...
Shabiki wa Simba, Man Utd ashinda Sh173 milioni Dar es Salaam. Shabiki wa klabu ya Simba na timu ya Manchester United ya England Seif Babu amefunga droo ya Perfect12 ya kampuni ya M-Bet kibabe baada ya kushinda Sh173 milioni kwa kubashiri...
Hawa hapa watakaokinukisha Mapinduzi Cup 2024 SIKU hazigandi. Aliwahi kuimba mwanadada Komandoo Lady Jaydee. Kuanzia kesho, Alhamisi ule uhondo wa michuano ya Kombe la Mapinduzi unarudi upya. Ndio, msimu wa 18 wa michuano hiyo inayoanza...
Huku Msuva kule Sankara Yanga YANGA inaendelea na hesabu za usajili kimyakimya ikitaka kuboresha kikosi kabla ya kurejea katika michuano mapema mwakani ikiwamo Ligi ya Mabingwa na Ligi Kuu na kwa kuonyesha imepania, hivi...
Marekebisho ya Katiba Simba sasa mambo freshi KAMATI ya Marekebisho ya Katiba ya Klabu ya Simba imefanya kikao chake cha kwanza Desemba 21, 2023 kupitia mapendekezo na maoni ya marekebisho ya katiba yao yaliyotolewa na wanachama wao. Simba...
PRIME Kipa aishi na risasi mgongoni miaka 13 kali zikiwamo bunduki aina ya AK 47. Katika tukio hilo, watu watatu walipoteza maisha akiwamo dereva wa basi hilo, Mario Adjoua, Kocha msaidizi wa timu hiyo, Amelete Abalo na Mtangazaji na...
PRIME Msuva apangua usajili Yanga MSHAMBULIAJI Simon Msuva yupo nchini tayari baada ya kutua tangu majuzi kimyakimya, kuwahi kambi ya timu ya taifa inayojiandaa na fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon), lakini akianzia...
Bandari, URA zachomoa Mapinduzi Cup TIMU za Jamus wa Sudan Kusini na vinara wa Ligi Kuu ya Zanzibar (ZPL), JKU zimeongezwa kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi 2024 itakayoanza rasmi Alhamisi kuchukua nafasi za Bandari FC ya Kenya...
PRIME Phiri bado aipasua Simba Simba wanarudi mazoezini kwa sasa ili kujiandaa na michuano ya Kombe la Mapinduzi 2024 itakayoanza Alhamisi, huku ikielezwa mshambuliaji nyota wa timu hiyo, Moses Phiri akiwavuruga na kuwagawa...
PRIME Dili la Msuva Yanga liko hivi MABOSI ya Yanga wamerudi tena kwa mshambuliaji wa kimataifa wa Kitanzania, Simon Msuva wakitaka kufanya mpango wa kumsajili haraka kupitia dirisha dogo baada ya kuachana na klabu ya JS Kabylie ya...