Gofu na Simba? Serengeti wana jibu SIO rahisi kuelezea msisimko ambao mcheza gofu ataupata wakati akicheza gofu huku akipishana na makundi ya Simba, Chui au Twiga.
Madenti wapiga pedeli wafanya kweli OMARI Idd, mwanafunzi wa darasa la tano wa Shule ya Msingi Kange ameibuka bingwa wa mbio za baiskeli za kuadhimisha mwaka mpya wa Kiislamu wa 1446 zilizofanyika Kange jijini hapa.
Kama una mtoto amemaliza Kidato cha Sita, matokeo yametoka! Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (Necta), Dk Said Mohamed amesema ufaulu kwa ujumla mwaka huu umepanda kwa asilimia 0.26 ukilinganisha na mwaka uliopita.
Kina Diarra watishia kujiondoa Mali kisa sakata la Traore Wachezaji wametoa taarifa wakifafanua kuwa maamuzi yote ya awali kuhusu masuala ya timu yalifanywa kwa pamoja na kundi lote la wachezaji na siyo Traoré pekee na kueleza hapaswi kuwajibishwa peke...
Coastal Union yapigishwa kwata na JKU UHONDO wa michuano ya Kombe la Kagame 2024 umeendelea mchana huu baada ya Wagosi wa Kaya, Coastal Union kushindwa kuhimili vishindo vya maafande wa JKU ya Zanzibar kwa kufumuliwa mabao 2-0 katika...
Gor Mahia yaanza Kagame na kipigo MABINGWA wa Kenya, Gor Mahia 'K'Ogalo' imeanza vibaya michuano ya Kombe la Kagame, baada ya kulambwa bao 1-0 na Red Arrows ya Zambia katika mechi ya Kundi B, uliopigwa jana usiku kwenye Uwanja wa...
Simba yajichimbia kambi ya kishua, yaanza na pumzi, stamina SIMBA imeingia siku ya pili ya mazoezi ikiwa kambini katika jiji la Ismailia, Misri lakini hadi jana mastaa wa timu hiyo walikuwa wakifanyishwa mazoezi magumu pekee, huku kipa Ayoub Lakred...
Yanga yashusha kitasa kipya, msaidizi wa Aucho KLABU ya Yanga imekamilisha usajili wa kiungo mkabaji, Aziz Andambwile kutoka Singida Fountain Gates kwa mkataba wa miaka miwili. Kiungo huyo amejiunga na Yanga kuongeza nguvu eneo la kiungo cha...
Firmino atimiza ndoto ya uchungaji Nyota wa zamani wa Roberto Firmino kwa kushirikiana na mkewe, wameanzisha kanisa huko Maceio, Brazil ambalo yeye atakuwa miongoni mwa wachungaji. Kufunguliwa kwa kanisa hilo ni kutimia kuwa...
Kagame Cup yaanza kinyonge Dar PAZIA la mashindano ya klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kombe la Kagame) 2024 linafunguliwa leo ikiwa ni mara ya kwanza katika historia kwa mashindano hayo kufanyika Tanzania bila uwepo wa...