Tanzania yapangwa kundi la kifo Afcon ufukweni Timu ya Taifa ya Tanzania ya soka la ufukweni imepangwa katika kundi la vigogo kwenye fainali za Afrika za soka la ufukweni zitakazofanyika mwezi ujao huko Misri.
NMB yaiongezea nguvu Yanga kimataifa KUELEKEA mchezo wa marudiano wa raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya CBE SA ya Ethiopia, mabingwa wa Tanzania, Yanga wameitambulisha Benki ya NMB kuwa ni mmoja wa wadhamini wa...
Inter yaibana City, Inzaghi alia na mastaa wake Kocha wa Inter Milan Simone Inzaghi, amesema anaridhishwa na mwenendo wa timu yake kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kulazimisha sare dhidi ya Manchester City.
Benja FC wababe wa Tulia Trust Uyole Cup 2024 TIMU ya soka ya Benja FC imetwaa ubingwa wa michuano ya Tulia Trust Uyole Cup 2024 iliyofikia tamati leo kwenye Uwanja wa Mwawinji, uliopo Uyole Mbeya Mjini.
Gamondi ayaona mabao Zanzibar YANGA inaondoka saa 3:00 asubuhi ya kesho Alhamisi na itatumia masaa mawili tu kufika Unguja, Zanzibar tayari kwa mchezo wa marudiano wa raundio ya pili wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya CBE ya...
Salum Chuku kuikosa Fountain Gate WAKATI kikosi cha Tabora United kikianza maandalizi ya kuiwinda Fountain Gate, inatarajia kuikosa huduma ya nyota wake, Salum Chuku.
Chan 24 kupigwa Tanzania Februari mwakani SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (Caf) jana limezihakikishia Kenya, Uganda na Tanzania kuandaa fainali za Chan 2024 huku likitaja tarehe ambayo mashindano hayo yataanza.
Malindi haishikiki Zenji, Kibadeni apiga Hat Trick MABINGWA wa zamani wa Zanzibar, Malindi imeendelea kuonyesha dhamira ya kubeba ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) msimu huu, baada ya jana kuwanyooshaa wageni wa ligi hiyo, Inter Zanzibar kwa...
ADEBAYOR: Ndoto ya Kariakoo iliyokamilika Singida MIAKA ya hivi karibuni, klabu ya Arsenal Uingereza imekuwa na tabia moja isiyoeleweka pale dirisha la usajili linapofunguliwa.
PRIME Kisa CBE, Gamondi ageuka mbogo YANGA imerejea jana mchana ikitokea Ethiopia ilikokwenda kuvunja mwiko wa kupata ushindi wa kwanza ndani ya ardhi ya nchi hiyo kwa kuichapa CBE SA kwa bao 1-0 katika mechi ya mkondo wa kwanza wa...