Sead Ramovic katika mechi ya kisasi Dar TAYARI Kocha Mkuu wa Yanga, Sead Ramovic amepiga mkwara mzito akisema kwamba kwenye timu yake hataki kuona mpinzani anapumua. Yaani anataka kuona wachezaji wake wakigusa mpira wanaachiana huku...
Aussems awekwa kando Singida BS, Gamondi atajwa Leo asubuhi Singida ilitoka sare ya mabao 2-2 na Tabora United kwenye Uwanja wa Al Hassan Mwinyi, mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao ulitarajiwa kupigwa jana lakini ukasogezwa mbele kutokana na uwanja...
MZEE WA FACT: Huu ndiyo wakati wa kujua uwanja wa fainali shirikisho Mashindano haya ambayo yalianza 2015/16 yakiitwa Kombe la Shirikisho la Azam Sports, yamejipatia umaarufu mkubwa na yanazidi kuongeza mvuto.
Wachezaji mpira wa kikapu wafurahia bonasi ya Locker Room ya betPawa Wachezaji wa mpira wa vikapu wa nchini wamefurahia malipo ya bonasi ya kushinda mechi maarufu kwa jina la Locker Room Bonus yaliyoanzishwa na wadhamini wakuu wa michuano ya ligi ya kikapu ya...
Kitanzi kipya Man City, Newcastle United Maisha huenda yakawa magumu kwa Manchester City na Newcastle United katika Ligi Kuu England (EPL) kwa siku za usoni hasa katika ununuzi wa wachezaji wa gharama kubwa na uendeshaji wa timu hiyo.
Mastaa Yanga wampa Ramovic kiburi Wakati Yanga ikibakiza siku moja kucheza mechi yake ya kwanza ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu, kocha wa timu hiyo Sead Ramovic amesema licha ya muda mfupi alionao kuelekea...
Slot hataki kushangilia KOCHA wa Liverpool, Arne Slot amesisitiza timu yake haitobweteka licha ya kuongoza ligi kwani wanaamini Manchester City wanawawinda kimya kimya.
PRIME Mechi nne za maamuzi Yanga MABAO manne ambayo Kennedy Musonda ameyafunga katika mechi za kuwania kufuzu Mainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) 2025, yakiwemo mawili kwenye mechi mbili mfululizo za mwisho, zimewafanya mabosi...
Simba yasitisha mkataba wa CEO wao, yamtaja mrithi wake Uongozi wa Simba umetangaza kusitisha mkataba na Francois Regis raia wa Rwanda ambaye alikuwa Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa klabu hiyo.
Petit: Mbappe hakutakiwa Madrid MCHEZAJI wa zamani wa Ufaransa, Emmanuel Petit anadai Carlo Ancelotti na baadhi ya wachezaji wa Real Madrid hawakutaka kuona Kylian Mbappe anasajiliwa dirisha la majira ya kiangazi mwaka huu.