Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8865 results for Mwandishi :

  1. Wayne Rooney amtupia zigo la lawama Wirtz

    LEJENDI wa Manchester United, Wayne Rooney amemtaja staa wa Liverpool, Florian Wirtz ndio anaharibu mfumo wa kocha Arne Slot.

    Rooney Pict
  2. 'Slot anaikosea sana Liverpool, atakuja kujuta'

    GWIJI wa soka nchini Scotland, Craig William Burley ameonesha wasiwasi mkubwa kuhusu uamuzi wa kiufundi wa kocha wa Liverpool, Arne Slot, baada ya timu hiyo kupoteza mechi ya Ligi ya Mabingwa...

    SLOT Pict
  3. Arne Slot ‘amtibua’ gwiji Liverpool

    LEJENDI wa Liverpool, Jamie Carragher amemshambulia vikali kocha wa timu hiyo Arne Slot na wachezaji wake baada ya kupoteza mechi mbili mfululizo, akisisitiza kwamba wanacheza kama timu ndogo.

    GWIJI Pict
  4. De Paul: Tuna deni la kulipa kwa Lionel Messi

    Kiungo wa Inter Miami, Rodrigo De Paul, amekiri kuwa hatua ya Lionel Messi kukubali kusaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo, imewapa hamasa wachezaji wengine klabuni hapo ili...

    MESSI Pict
  5. Lamine Yamal amejifunza kutokana na makosa yeke

    Maneno ya mshambuliaji wa Barcelona, Lamine Yamal kabla ya mechi ya El Clásico yalizua gumzo kubwa kuliko hata kiwango chake uwanjani, baada ya Barcelona kupoteza mechi hiyo na huenda kijana huyo...

    LAMINE
  6. Ferdinand amshauri Kobbie Mainoo, amtaka kuiga mfano wa Casemiro

    Beki wa zamani wa Manchester United, Rio Ferdinand, amemshauri kiungo Kobbie Mainoo kuiga mfano wa mchezaji mwenzake Casemiro wakati akipitia kipindi kigumu katika klabu hiyo.

    Ferdinand Pict
  7. Amorim atangaza msimamo ishu ya Kobbie Mainoo, Joshua Zirkzee

    Kocha Mkuu wa Manchester United, Ruben Amorim amezima uvumi unaodai kuwa wachezaji Kobbie Mainoo na Joshua Zirkzee wanaweza kuondoka kwenye klabu hiyo ya Old Trafford, Januari 2026.

    AMORIM Pict
  8. Kadi nyekundu yamuibua Maresca, ang’ata na kupuliza

    KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca, alikosoa kadi nyekundu aliyoonyeshwa staa wake Malo Gusto, lakini pia alimsifu kwa kuchukua uamuzi uliosababisha kadi hiyo.

    CHELSEA Pict
  9. Tuchel amchana Rashford, mwenyewe afichua kilichomuangamiza

    Kocha wa timu ya taifa ya England, Thomas Tuchel amemuonya Marcus Rashford kwa kumwambia ni lazima aonyeshe uwezo wake au akubali hatari ya kumaliza uwezo wake kisoka katika kipindi hiki ambacho...

    RASHFORD Pict
  10. Dah, Mr Manchester United ameumaliza mwendo

    SHABIKI wa damu kabisa wa mchezo wa soka aliyebadili jina lake na kuitwa Mr Manchester United na kuchora tattoo ya nembo ya klabu hiyo kwenye paji lake la uso amefariki dunia akiwa na umri wa...

    SHABIKI Pict (1)
Previous

Page 423 of 887

Next