Arajiga, Mkono kuchezesha Cape Verde v Eswatini Marefa wanne wa Tanzania wamepangwa kuchezesha mechi inayoweza kuwa ya uamuzi katika mashindano ya kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026 baina ya Cape Verde na Eswatini.
Kocha afichua Benfica ilivyomkosa Joao Felix ALIYEKUWA kocha wa Benfica, Bruno Lage, amefichua sababu za klabu hiyo kushindwa kumsajili Joao Felix kutoka Chelsea wakati wa msimu wa joto, na hatimaye akatimkia Al-Nassr ya Saudi Arabia.
Mourinho amvulia kofia Pedro Neto Kocha wa Benfica, Jose Mourinho, amemsifu nyota wa Chelsea, Pedro Lomba Neto, kama mmoja wa wachezaji bora zaidi duniani kwa sasa, kufuatia kauli ya kiungo huyo kutamani kucheza chini ya uongozi...
Deco amtabiria makubwa Gavi, amlinganisha na Puyol, Xavi Mkurugenzi wa michezo wa Barcelona, Deco, anaamini nahodha wa kikosi hicho, Gavi atafikia hadhi ya kuwa gwiji wa klabu hiyo kama Xavi Hernandez na Carles Puyol, endapo atajitolea maisha yake yote...
Mourinho aichimba mkwara Chelsea, atamba kuinyamazisha Kocha wa Benfica ya Ureno, Jose Mourinho ametamba kuinyamazisha Chelsea katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, itakayochezwa leo Septemba 30, 2025 kwenye Uwanja wa Stamford Bridge jijini London.
Ebwanaeee... Ngoma za hawa zilivuma sana Bongo Wimbo ukipendwa Tanzania, ulikuwa unatawala mitaa, redio na klabu mbalimbali na wasanii wengine hadi leo ngoma zao zinafanya vizuri.
Ligi ya Mabingwa Ulaya… Kinawaka LIGI ya Mabingwa Ulaya inaendelea leo kwa mechi tisa kupigwa ambapo vigogo wa Hispania Real Madrid, Chelsea, Bayern Munich, Liverpool, Inter Milan na Tottenham Hotspur watakuwa katika harakati za...
Fahamu chanzo cha mashindano ya kula Marekani NEW YORK, MAREKANI: WAKATI wewe unakula ili upoze njaa, kuna watu wengine muda huu wapo bize kufanya kazi yao ambayo ni kula. Ndio, inawezekana umeshuhudia mechi nyingi za mpira wa miguu na...
Bernardo Silva kuwafuata Ronaldo, Felix Saudi Arabia KIUNGO wa Manchester City na timu ya taifa ya Ureno, Bernardo Silva, 31, amepanga kutimkia Saudi Arabia dirisha lijalo la majira ya kiangazi kuungana na nyota wenzake wa Ureno, Cristiano Ronaldo...
Xavi awekewa dau nono Saudi Arabia KOCHA wa zamani wa Barcelona, Xavi Hernandez ameripotiwa kupewa ofa nono na Al-ittihad ya Saudi Arabia jambo linaloweza kumshawishi kurejea tena kazini hivi karibuni.