Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8037 results for Mwandishi Wetu :

  1. Liverpool yapanga kuweka mzigo kwa Olise

    LIVERPOOL iko tayari kutumia takribani Pauni 130 milioni kumsajili winga wa Bayern Munich na timu ya taifa ya Ufaransa, Michael Olise, mwenye umri wa miaka 23, dirisha la majira ya kiangazi mwakani.

    TETESI Pict
  2. Matajiri Saudi Arabia waweka noti kwa Kane

    MATAJIRI wa Saudi Arabia kutoka timu ya Al-Hilal, wapo tayari kumpa Harry Kane pesa ndefu inayofikia Pauni 261 milioni kama mshahara wa kuwatumikia kwa miaka mitatu.

    HARRY KANE Pict
  3. Mashabiki waiponza Leeds United, FA yaanza uchunguzi

    Chama cha Soka England (FA) kimeanza kufanya uchunguzi dhidi ya mashabiki wa Leeds United baada ya vurugu zilizojitokeza wakati wa mechi ya Ligi Kuu ya EPL dhidi ya Tottenham iliyopigwa jana...

    LEEDS Pict
  4. Sergio Busquets aagwa rasmi Inter Miami

    Klabu ya Inter Miami, rasmi imemuaga kiungo wa Hispania Sergio Busquets, ambaye atastaafu soka mwishoni mwa msimu huu.

    SERGIO Pict
  5. Gwiji wa Southampton anusurika kifo Uholanzi

    Mchezaji wa zamani wa Ligi ya EPL, Eljero Elia, amenusurika kifo baada ya ajali mbaya iliyohusisha magari matatu nchini Uholanzi.

    GWIJI Pict
  6. Diarra, Ahmad Ali vipanga wa Ligi Kuu Bara Septemba

    Bodi ya Ligi Kuu Bara imewatangaza washindi wa mwezi Septemba kwenye ligi hiyo kwa upande wa kocha na mchezaji.

  7. Arteta: Bado nina imani kubwa na Viktor Gyokeres

    KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta, amemwagia sifa Viktor Gyokeres kwa juhudi za kupambana tangu alipoanza kumpa nafasi ya kucheza kwenye kikosi cha Washika Bunduki hao wa jijini London.

    GYOKERES Pict
  8. Gary Neville amchana Milos Kerkez, afichua udhaifu wa Liverpool

    Gwiji wa soka nchini England, Gary Neville ametoa tathmini kuhusu mlinzi wa Liverpool, Milos Kerkez, baada ya kipigo cha mabao 2-1 kutoka kwa Chelsea kwenye Uwanja wa Stamford Bridge jana...

  9. Everton inasikilizia kwa  Gabriel Jesus

    ARSENAL inadaiwa ipo tayari kukubali ofa ya takribani Pauni 30 milioni kwa ajili ya kumuuza mshambuliaji wao wa kimataifa wa Brazil, Gabriel Jesus,28, dirisha lijalo la majira ya baridi.

    FUNUNU Pict
  10. Denver Nuggets ya Jokic inavyoanza upya NBA

    DENVER Nuggets imeingia msimu mpya wa NBA 2025/26 ikiwa na ari mpya na mabadiliko ya kikosi, huku Nikola Jokic akieleza dhamira yake ya kubaki na klabu hiyo.

    NBA Pict
Previous

Page 315 of 804

Next