Liverpool yapanga kuweka mzigo kwa Olise LIVERPOOL iko tayari kutumia takribani Pauni 130 milioni kumsajili winga wa Bayern Munich na timu ya taifa ya Ufaransa, Michael Olise, mwenye umri wa miaka 23, dirisha la majira ya kiangazi mwakani.
Matajiri Saudi Arabia waweka noti kwa Kane MATAJIRI wa Saudi Arabia kutoka timu ya Al-Hilal, wapo tayari kumpa Harry Kane pesa ndefu inayofikia Pauni 261 milioni kama mshahara wa kuwatumikia kwa miaka mitatu.
Mashabiki waiponza Leeds United, FA yaanza uchunguzi Chama cha Soka England (FA) kimeanza kufanya uchunguzi dhidi ya mashabiki wa Leeds United baada ya vurugu zilizojitokeza wakati wa mechi ya Ligi Kuu ya EPL dhidi ya Tottenham iliyopigwa jana...
Sergio Busquets aagwa rasmi Inter Miami Klabu ya Inter Miami, rasmi imemuaga kiungo wa Hispania Sergio Busquets, ambaye atastaafu soka mwishoni mwa msimu huu.
Gwiji wa Southampton anusurika kifo Uholanzi Mchezaji wa zamani wa Ligi ya EPL, Eljero Elia, amenusurika kifo baada ya ajali mbaya iliyohusisha magari matatu nchini Uholanzi.
Diarra, Ahmad Ali vipanga wa Ligi Kuu Bara Septemba Bodi ya Ligi Kuu Bara imewatangaza washindi wa mwezi Septemba kwenye ligi hiyo kwa upande wa kocha na mchezaji.
Arteta: Bado nina imani kubwa na Viktor Gyokeres KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta, amemwagia sifa Viktor Gyokeres kwa juhudi za kupambana tangu alipoanza kumpa nafasi ya kucheza kwenye kikosi cha Washika Bunduki hao wa jijini London.
Gary Neville amchana Milos Kerkez, afichua udhaifu wa Liverpool Gwiji wa soka nchini England, Gary Neville ametoa tathmini kuhusu mlinzi wa Liverpool, Milos Kerkez, baada ya kipigo cha mabao 2-1 kutoka kwa Chelsea kwenye Uwanja wa Stamford Bridge jana...
Everton inasikilizia kwa Gabriel Jesus ARSENAL inadaiwa ipo tayari kukubali ofa ya takribani Pauni 30 milioni kwa ajili ya kumuuza mshambuliaji wao wa kimataifa wa Brazil, Gabriel Jesus,28, dirisha lijalo la majira ya baridi.
Denver Nuggets ya Jokic inavyoanza upya NBA DENVER Nuggets imeingia msimu mpya wa NBA 2025/26 ikiwa na ari mpya na mabadiliko ya kikosi, huku Nikola Jokic akieleza dhamira yake ya kubaki na klabu hiyo.