Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Francis Kifukwe wa Yanga, afariki dunia akipatiwa matibabu India

Muktasari:

  • Kifukwe amefariki jana saa 3 usiku kwa muda wa Tanzania, akiwa nchini humo ambako alikuwa akipatiwa matibabu.

Rais na Mjumbe wa zamani wa Baraza la Wadhamini la Yanga, Francis Kifukwe amefariki dunia jana Ijumaa Agosti 14, 2026 nchini India.
Kifukwe amefariki jana saa 3 usiku kwa muda wa Tanzania, akiwa nchini humo ambako alikuwa akipatiwa matibabu.
Miaka ya 2000, Kifukwe aliwahi kuwa Rais wa klabu ya Yanga ambayo baadaye akawa mjumbe wa baraza lake la wadhamini.
Miongoni mwa mambo ambayo Kifukwe anakumbukwa nayo ni usajili wa wachezaji Saimon Msuva na Jerry Tegete ambao walikuja kuwa mastaa wakubwa wa Yanga.