Miezi miwili ya kibabe Yanga Umebaki muda usiozidi wiki moja ili itimie miezi miwili tangu msimu wa soka wa 2022/2023 uanze hapa nchini na tayari tumeshuhudia msisimko na mvuto wa aina yake kwa mechi mbalimbali za mashindano...
Bruno mguu sawa Yanga, dili lake liko hivi Jangwani... YANGA inahitaji ushindi tu kwenye mechi tatu zinazofuata za Ligi Kuu ili ijihakikishie rasmi ubingwa wa ligi msimu huu lakini wakati wakiajiandaa na sherehe za ubingwa, uongozi wa timu hiyo...
Kaze: Bila Saido, Yacouba ubingwa Yanga ni ngumu Dar es Salaam. Kocha aliyetemwa na Yanga, Cedric Kaze amesema bila wachezaji wawili wa kigeni, Saido Ntibazonkiza na Yacouba Sogne kurudi kwenye ubora wao, timu hiyo itakuwa na wakati...
Simba mpoo.. chuma kinajifua KOCHA Mkuu wa Yanga, Nabi Mohammed ameanza mapumziko nchini kwao Ubelgiji lakini amechukua tahadhari kubwa. Amesisitiza kwamba ameacha vyuma vyake kikiwemo Fiston Mayele kinajinoa na anaamini...
PRIME Ishu ya usajili wa Kramo Simba SIMBA iliendelea kushuka majembe mapya baada ya kutambulisha yule winga aliyeripotiwa mapema juzi na Mwanaspoti kwamba ameshasaini mkataba wa miaka miwili, Aubin Kramo Kouame kutoka ASEC Mimosas...
MAONI: Hii ni heshima ya nchi, tusifanye makosa KESHO ndio uzinduzi wa michuano mipya ya Ligi ya Afrika (African Football League maarufu kama CAF Super League), shughuli inayofanyika katika ardhi ya Tanzania. Michuano hiyo inayoshirikisha...
Majaliwa aipa miezi sita GGML kukamilisha ujenzi uwanja wa mpira Geita Dar es Salaam. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameipa miezi sita Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kukamilisha ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Magogo, unaojenhwa mkoani...
PRIME Kanuni yaongeza utata sakata la Dube, Azam FC Wakati kukiibuka tetesi mkataba ulioongezwa wa Azam FC na Prince Dube hakuwasilishwa katika Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kanuni za Ligi Kuu 2023/2024 zinakinzana katika kuamua upande upi...
Watanzania vicheko wakizidi kuneemeka mitandaoni FURAHA inazidi mioyoni mwa Watanzania ambao wamethubutu na kushiriki katika minada inayoendeshwa mitandaoni kwani wameendelea kujizolea zawadi mbalimbali zenye thamani kubwa. Katika moja ya...