Straika KVZ hashikiki ZPL, atupia manne akiiua Maendeleo STRAIKA Suleiman Mwalim Abdallah wa KVZ ameonyesha dhamira ya kubeba kiatu cha dhahabu cha Mfungaji Bora wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) kwa msimu huu, baada ya jioni ya leo Alhamisi kuweka rekodi...
NIONAVYO: Kinachoibeba Real Madrid kuiteka dunia MIAKA ya karibuni kumekuwa na ongezeko la mamlaka na vyanzo mbalimbali vinavyotoa taarifa, kumbukumbu na takwimu zinazohusu michezo na hasa soka.
Liverpool vs Man United kuna mtu atapigwa nyingiii! KWENYE karatasi zinaonekana ni pointi tatu nyepesi kabisa kwa Liverpool. Shida ipo uwanjani, litathibitika hilo?
Bangala avuna mamilioni Azam FC AZAM FC imeachana na nyota wake raia wa DR Cong, Yannick Litombo Bangala, aliyekuwa amebaki na mkataba wa miezi nane klabuni hapo.
PRIME Simba, Yanga hazichekani LIGI Kuu Bara imesimama huku ikiwa zimeshachezwa jumla ya mechi 124 zilizokusanya mabao 265 yakiwamo 110 yaliyofungwa na nyota wa kigeni 47 na mengine 148 yaliyowekwa wavuni na wazawa 80 mbali na...
PRIME Ramovic ashtukia mtego Dodoma, atoa tahadhari YANGA ina rekodi nzuri inapocheza dhidi ya Dodoma Jiji katika mechi za Ligi Kuu Bara kwani haijawahi kupoteza tangu zianze kukutana Desemba 19, 2020.
Simba ilivyopoteza mabilioni ya CAF Ulikuwa ni msimu dume kwa Wekundu wa Msimbazi wakimaliza katika nafasi ya tatu kwenye Ligi Kuu Bara, kuishia robo fainali ya Ligi ya Mabingwa, kuondoshwa hatua ya 16 bora ya Kombe la Shirikisho...
Simba mkao wa kula leo Afrika Dakika 90 za mchezo wa ugenini dhidi ya Al Ahli Tripoli leo kwenye Uwanja wa Juni 11, Tripoli, Libya zinapaswa kutumiwa vyema na Simba ili ijiweke katika mazingira mazuri ya kutinga hatua ya...
Ligi ya Mabingwa Afrika: Vital’O yaulizwa “Mtamkaba nani!” MATUMAINI makubwa ya Watanzania leo yapo kwa Yanga ambayo kuanzia saa 10:00 jioni katika Uwanja wa Azam Complex itakabiliana na Vital’O ya Burundi katika mechi ya awali ya raundi ya kwanza ya...
Yanga Mwendo mdundo! WABABE wa soka nchini, Yanga usiku wa jana ilikuwa visiwani Zanzibar kumalizana na CBE SA ya Ethiopia katika mechi ya marudiano ya raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika, huku ikiwa na rekodi...