Bayern, Real Madrid kitaumana leo Vigogo wa soka barani Ulaya, Bayern Munich na Real Madrid wataonyeshana kazi usiku wa leo Jumanne katika mchezo wa kwanza matata kabisa wa hatua ya nusu fainali kwenye mikikimikiki ya Ligi ya...
Picha nzima Benchikha kusepa Simba ilianzia hapa tamaa juu ya mwenendo wa timu hiyo na baada ya kuhojiwa alijibu: “Ni hali ya kawaida, kubaki mwenyewe ni kitu cha kawaida kabisa kwangu nilikuwa natakafakari kwa kuwa sikuridhishwa na safu yangu...
Adhabu USM Alger hizi hapa, fainali ni Berkane vs Zamalek USM Alger itatozwa faini ya Dola 50,000 (Sh 130 milioni) na kufungiwa kushiriki mashindano yote ya klabu yaliyo chini ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (Caf) baada ya jana kugomea kucheza...
PRIME Benchikha na wenzake shida iko hapa Baada ya aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha kuondoka jana, hatimaye timu hiyo sasa imebaki chini ya Juma Mgunda na Selemani Matola, lakini kuna maswali mengi ya kujiuliza ambayo...
Simba yamrejesha Juma Mgunda Hatimaye Simba imerejesha kocha mzoefu, Juma Mgunda kwenye kikosi hicho muda mchache baada ya Abdelhack Benchikha na wasaidizi wake kutimka. Tetesi zilianza kuzagaa wiki nzima kuwa Benchikha...
Ishu ya Chama kwenda Yanga iko hivi Kiungo wa Simba Clatous Chama anayemaliza mkataba mwishoni mwa msimu huu ametajwa kuhusisha na Yanga, zikiwa zimebaki wiki chache kabla msimu haujamalizika.
Prince Dube aishi kifahari dar, aiponza Yanga MWANASPOTI linajua vigogo walio karibu na Yanga wamempa maisha ya kifahari staa anayepambana kuvunja mkataba na Azam, Prince Dube lakini klabu imeingia msituni kwa staili ya tofauti. Dube kwa...
Ahly, Esperance fainali Mazembe, Mamelodi hoi MAMBO ni moto. Miamba ya soka ya Afrika, Al Ahly na Esperance Tunis ndiyo itakayochuana kwenye mchezo wa fainali wa Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu baada ya kuwasukuma nje wapinzani wao kwenye...
Huenda Ne-YO yakamkuta ya Diddy Mama watoto wa mwanamuziki kutoka nchini Marekani, Ne-Yo anayefahamika kwa jina la Big Sade, amemfananisha msanii huyo na Diddy kwa kumuita 'Diddy Junior'.
Mwisho wa ubishi CAFCL Pretoria, Afrika Kusini. Mechi za pili za Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya nusu fainali zinapigwa leo kwenye viwanja viwili tofauti, hadi saa sita usiku timu zitakazokwenda fainali zitakuwa...