PRIME Simba yambakiza Mwamnyeto Yanga KUNA sababu tano za msingi zilizowafanya mabosi wa Yanga kukaa mezani na nahodha wa timu hiyo, Bakari Mwamnyeto kujadili dili jipya na mwisho wa siku kumpa mkataba wa miaka miwili kuendelea...
Joe master balozi mpya Sportpesa KAMPUNI ya SportPesa imemtangaza mchekeshaji, Joe Master kuwa Balozi mpya kutangaza bidhaa za kampuni hizo.
NIONAVYO: Usajili makini wa klabu ni silaha ya mafanikio MOJA ya kumbukumbu zitakazokaa muda mrefu kuhusu msimu uliopita wa Ligi Kuu Bara 2023-2024 ni mchezo wa kwanza wa Azam FC dhidi ya Tabora United.
Mambo manne yaliyowakuta Jesca, Egina Afrika Kusini WIKIENDI iliyopita mabondia Jesca Mfinanga na Egine Kayange walikuwa na vibarua vya mapambano ya kimataifa nchini Afrika Kusini ambayo yalifanyika katika jiji la Johannesburg.
Hivi ndivyo Simba, Chama walivyomalizana TAARIFA zinabainisha kwamba, ile filamu ya Clatous Chama na Simba imefikia mwisho baada ya mchezaji huyo mkataba wake kumalizika na ishu ya kuongezewa muda wa kusalia Msimbazi ikishindikana, huku...
Bomu linalopikwa Yanga, atakufa tena mtu YANGA imeanza kusuka safu imara yenye lengo la kucheza fainali za Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao. Wanachowauliza wapinzani wao ni kwamba; “nyie hamuogopi?”
Rekodi za mita 100 wanawake Olimpiki Mbio za mita 100 zimekuwa zikitoa wanariadha wapya kila mwaka ambao mashindano hayo yamekuwa yakifanyika lakini kuna rekodi moja ambayo inashikiliwa na mwanariadha Florence Griffith-Joyner ambayo...
Sababu saba mtifuano wa Simba, Coastal Simba wakaingia mtandaoni na kumtambulisha mchezaji kama ni wa kwao Coastal Union wakabisha, bonge moja la sinema.
Mzambia kunogesha mbio za magari Tanga DEREVA muongozaji (navigator) kutoka Zambia, David Sihoka ni mmoja wa magwiji wa mbio za magari wa daraja la juu barani Afrika wanaotegemewa kunogesha mashindano ya mbio za magari ya Advent...
Yammy achekelea usupastaa kumlipa MWIMBAJI wa kwanza aliyesainiwa Lebo ya The African Princess ya Nandy, mwanadada Yammy amekiri hakuna anajua kama uhusiano wa krafiki na watu maarufu unalipa hadi baada ya kushangazwa kupata...