Nani awatetee wachezaji wa Tanzania! Kiungo wa Manchester City na timu ya taifa ya Hispania, Rodrigo Hernández Cascante maarufu zaidi kama Rodri, amegonga vichwa vya habari baada ya kauli yake ya kishujaa kwa mamlaka za mpira duniani.
Hatua 5 zingezuia utata dili la Kagoma KIUNGO mkabaji, mzawa Yusuf Kagoma amekuwa maarufu kwa siku za hivi karibuni baada ya jina lake kuhusishwa kwenye utata wa usajili akitokea klabu ya Fountain Gate.
Maafande wa JKU inajipigia tu Zenji WATETEZI wa Ligi Kuu ya Zanzibar (ZPL), JKU ubingwa inautaka tena baada ya juzi kuendelea kugawa dozi katika ligi hiyo na kuzidi kujiimarisha kileleni mwa msimamo ikiifyatua Tekeleza ya Pemba kwa...
PRIME Utamu upo kati Azam vs Simba Ni pambano lenye mvuto na msisimko wa aina yake kutokana na ushindani uliopo baina ya timu hizo tangu Azam ipande Ligi Kuu mwaka 2008. Kuanzia saa 2:30 usiku pale New Amaan Complex, moto utawaka.
PRIME Simba, Yanga bado dakika 270 Kibarua walichonacho wakongwe hao kila mmoja ni katika kuwania pointi tisa zinazopatikana katika mechi tatu zijazo za Ligi Kuu Bara kabla ya kufika Oktoba 19 mwaka huu ambapo watakutana wenyewe...
PRIME Ligi ya Mabingwa Afrika: Yanga mikononi mwa vigogo YANGA imetinga makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kishindo kwa msimu wa pili mfululizo ikiwa ni historia kwa klabu hiyo katika michuano hiyo ya CAF na sasa inasubiri kujua itapangwa na vigogo...
JKU yapiga mtu 9-0 Ligi Kuu Zanzibar WATETEZI wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), JKU juzi walitoa dozi ya maana baada ya kifumua Mwenge kwa mabao 9-0 na katika mechi ya upande mmoja ya ligi hiyo, huku nyota wa timu hiyo Mudrik Abdi Shehe...
Yanga Mwendo mdundo! WABABE wa soka nchini, Yanga usiku wa jana ilikuwa visiwani Zanzibar kumalizana na CBE SA ya Ethiopia katika mechi ya marudiano ya raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika, huku ikiwa na rekodi...
Rekodi kibao, Yanga ikitinga makundi Ligi ya Mabingwa HISTORIA imeandikwa tena. Baada ya usiku wa jana Yanga kutinga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa mara ya pili mfululizo ikiing’oa CBE SA ya Ethiopia, huku Clatous Chama akiendelea...
Mlandege yaona mwezi Zanzibar MABINGWA wa Kombe la Mapinduzi 2024, Mlandege jana imeonja ushindi wa kwanza katika Ligi Kuu Zanzibar kwa msimu huu baada ya kuinyoa Mafunzo kwa bao 1-0 kwenye Uwanja wa Amaan kwa Wazee mjini...