Kipigo hakijamshtua Enrique kuwavaa Arsenal LICHA ya kupoteza kwa mara ya kwanza wiki iliyopita tangu kuanza kwa msimu huu, kocha wa Paris Saint-Germain, Luis Enrique, amesisitiza kwamba hajali kabisa kuhusu matokeo hayo na anaona hayana...
Liverpool yabeba ubingwa EPL ikiisulubu Totenham Imeisha hiyo. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Liverpool kuibamiza Totenham Hotspur kwa mabao 5-1 katika mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa Anfield na kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu England (EPL).
Barcelona waanza kumnyatia Julian Alvarez BARCELONA wanapanga kufanya usajili wa mshambuliaji wa Atletico Madrid na timu ya taifa ya Argentina, Julian Alvarez, 25, katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi ikiwa ni katika harakati zao...
Rudiger anukia kupewa kibano BEKI kisiki wa Real Madrid, Antonio Rudiger inadaiwa atakutana na adhabu kubwa kwa kumtupia barafu mwamuzi kwenye mchezo wa fainali ya Copa del Rey dhidi ya Barcelona ambao ulimalizika kwa Madrid...
Ancelotti, Brazil mambo yameiva SHIRIKISHO la soka la Brazil linaripotiwa kuwa na imani kubwa ya kumpata kocha wa Real Madrid, Carlo Ancelotti kuelekea michuano ya Kombe la Dunia kwa Klabu.
Kuhusu Cunha, Amorim kasema haweki neno KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amekataa kutoa maoni kuhusu tetesi zinazoihusisha timu hiyo na nyota wa Wolves, Matheus Cunha, anayedaiwa anaweza kusajiliwa dirisha lijalo.
Man City ikishinda kesi, klabu za EPL imekula kwao KESI ya kisheria kati ya Manchester City na mamlaka zinazosimamia Ligi Kuu England huenda ikaibua mapya na kuzigharibu klabu zinazoshiriki Ligi Kuu England kwa kutakiwa kuilipa fidia miamba hiyo...
Evra amtaka Suarez wapigane LEJENDI wa Manchester United, Patrice Evra, yupo kwenye mchakato wa kufanya mabadiliko ya kushangaza kwa kuwa mpiganaji wa MMA na anataka kucheza pambano moja dhidi ya Luis Suarez.
Maresca ajiondoa kwa Palmer KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca amesema hahusiki na kushuka kwa kiwango cha staa wa timu hiyo, Cole Palmer na amesisitiza huenda ana presha.
Tiketi za ubingwa Liverpool ni milioni 11 LEO ni siku maalumu kwa mashabiki wa soka wa Liverpool. Licha ya ukweli huenda ikawa siku ya maumivu kwa majirani zao Everton na wapinzani wao Manchester United, lakini hii ni siku muhimu sana...