Yanga yaitupa nje Gaborone United, Shalulile, Toure waking’aa Yanga imetumia vyema faida ya kucheza nyumbani, baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1, dhidi ya Gaborone United ya Botswana, katika mechi ya marudiano ya hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa...
Zuberi Katwila aipigia hesabu kali Yanga GEITA Gold inaendelea na maandalizi ikiwasubiri Yanga kumaliza ratiba ya mechi za kimataifa. Sasa kocha wa kikosi hicho, Zuberi Katwila amefunguka hesabu zake kuelekea mchezo huo dhidi ya...