PRIME Boli walisukuma huku a.k.a ziliwabeba vilevile HUENDA usiamini, lakini ndivyo ukweli ulivyo. Mashabiki wa soka wa zamani wanapoyasikia majina ya utani wa nyota wa soka wa sasa wanacheka kwa dharau. Unajua kwanini? Majina ya utani kwa...
Mghana hashikiki kwa ufungaji Ligi Kuu Z'Bar LIGI Kuu ya Zanzibar (ZPL) ipo raundi ya 10 kwa sasa, huku vita ya ufungaji mabao ikizidi kupamba moto kwa nyota wa KMKM, Ibrahim Is-haka akiongoza orodha akiwa na mabao sita.
Amrouche anavyojibebesha msalaba Taifa Stars JUZI usiku kocha mkuu wa timu ya Taifa ‘TaifaStars’, Adel Amrouche alitangaza kikosi cha wachezaji 35 watakaoingia kambini kwa ajili ya mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Niger na...
Mastaa walivyokwepa kikaango Simba BAADA ya mabosi wa Simba kuikabidhi timu kwa makocha Seleman Matola na Daniel Cadena inadaiwa benchi la ufundi limewaomba kuwarejesha wachezaji waliodaiwa kusimamishwa kikosini kwani timu...
PRIME Sintofahamu Robertinho akitimuliwa Wakati sababu kadhaa zikitajwa kuchangia kutimuliwa kwa kocha Roberto Oliveira 'Robertinho' na wasaidizi wake wawili licha ya takwimu bora alizonazo tangu alipojiunga na timu hbiyo, Januari mwaka...
Ni JKT Queens na wenyeji Abidjan JKT Queens leo wanashuka tena uwanjani kuikabili Atletico Abidjan ya Ivory Coast kwenye mchezo wa pili wa Klabu Bingwa Afrika huku wachezaji wa timu hiyo wakisema wana matumaini ya kufika mbali...
Ligi Kuu Bara ruksa Zanzibar NAIBU Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Hamis Mwinjuma amesema hakuna kikwazo kwa timu yoyote ya Ligi Kuu kuchagua Uwanja wa Nyumbani Visiwani Zanzibar. Timu za Ligi Kuu Bara zimekuwa...
Maxi aingia anga za Okwi, Kiiza MABAO ya dakika ya 64 na 77 aliyofunga wakati Yanga ikiizamisha Simba kwa mabao 5-1 katika mechi ya Ligi Kuu Bara, yamemfanya mshambuliaji, Maxi Nzengeli kufikia rekodi za nyota wa kigeni...
Siku 373 za Mnyama zilivyotibuliwa kwa Mkapa ACHANA na kipigo cha mabao 5-1 ilichopewa Simba juzi na watani wao wa jadi, Yanga katika mechi ya Ligi Kuu Bara, matokeo hayo yamehitimisha ubabe wa Mnyama wa siku 373 kucheza bila kupoteza...
Fei Toto, Manula waitwa Stars, Kapombe, Tshabalala mh! Kikosi cha Timu ya Taifa Tanzania 'Taifa Stars' kimeachiwa leo Novemba 6 ambacho kitaingia kambini kwa ajili ya mechi mbili za kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Niger na Morocco. Katika kikosi...