Kounde mguu sawa Arsenal ARSENAL wanapanga kuwasilisha ofa ya Pauni 55 milioni katika timu ya Barcelona kwa ajili ya kuipata saini ya beki kisiki wa klabu hiyo na timu ya taifa ya Ufaransa, Jules Kounde.
Mambo matano muhimu gemu 3 NBA KATIKA mchezo wa tatu wa mchuano wa kwanza wa hatua ya mtoano wa NBA kati ya Los Angeles Clippers na Denver Nuggets, hali imebadilika.
EBANA EE! Slot aliitwa Miss sasa maisha hayoo KOCHA wa Liverpool, Arne Slot anahitaji dakika 90 tu zijazo kuiongoza Liverpool kutwaa taji la 20 huku akiwa katika msimu wake wa kwanza kama kocha mkuu wa majogoo hao.
TPLB yawakumbusha wadau kufuata kanuni za ligi lala salama Championship Bodi ya Ligi Kuu imewakumbusha wadau wa soka kufuata kanuni na taratibu za ligi ikiwemo kujihusisha na upamngaji wa matokeo kimpindi ambacho ligi ya Championship inaelekea ukingoni ikiwa imesalia...
Kocha Liverpool akanusha ishu ya Nunez KOCHA wa Liverpool, Arne Slot amepuuza madai kwamba hajamchezesha Darwin Nunez katika mechi kadhaa kwa sababu ya kifungu kilichomo kwenye mkataba wake ambacho kinaitaka Liverpool kuilipa klabu...
Arsenal kuzipiku Man United, Chelsea INAELEZWA Arsenal watakuwa na nafasi ya kutumia pesa nyingi zaidi kuliko Manchester United na Chelsea kutokana na faida kubwa ya kufika kwao nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Takwimu zaibeba Barca El Clasico NI wikiendi nyingine nchini Hispania, kila shabiki wa soka leo anajiandaa kushuhudia mchezo wa mkubwa zaidi wa kihistoria, Wahispania wanauita El Classico.
Hojlund kutumika dili la Lookman Man United MANCHESTER United inahitaji kumtumia mshambuliaji wao raia wa Denmark, Rasmus Hojlund, mwenye umri wa miaka 22, kama sehemu ya ofa kwenda Atalanta kwa ajili ya kutumika kama sehemu ya...
Diallo ashusha presha Man United MANCHESTEER United imepata nguvu ya kutosha ikielekea kumaliza msimu baada ya kutoka kwa taarifa njema kuhusu majeraha ya staa wake, Amad Diallo.
Uefa kufanya mabadiliko matatu BAADA ya kukosoelewa sana kuhusu muundo wao mpya wa Ligi ya Mabingwa, shirikisho la soka barani Ulaya (UEFA) sasa linataka kufanya mabadiliko ya aina tatu katika mashindano hayo kuanzia msimu ujao.