Ishu ya straika, Arsenal yatua kwa Barcola Mbali na Arsenal, huduma yake pia inawindwa na Bayern Munich na Liverpool zilizovutiwa na kiwango alichoonyesha akiwa na PSG aliyoisaidia kuchukua ubingwa Ligi ya Mabingwa Ulaya.
PICHA: Viongozi mbalimbali wa Serekali, TFF, TPLB, Yanga na Simba walivyowasili kwenye mkutano sakata la Dabi