Bernardo Silva aipa ubingwa Liverpool, Arsenal FUNDI wa boli, Bernardo Silva amekiri kwamba nafasi ya Liverpool na Arsenal kushinda Ligi Kuu England kwa sasa ni kubwa zaidi kuliko ya Manchester City.
Keane: Pep Guardiola acha kujitetea JUZI Jumapili usiku, Machester City ilitoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Arsenal katika mchezo wa Ligi Kuu England, huku Kocha Pep Guardiola akijitetea ratiba na uchovu vimesababisha matokeo...
Makocha wazawa waichunia Simba Wakati uongozi wa Simba ukianza kupokea maombi na wasifu wa makocha mbalimbali kwa ajili ya kumrithi Kocha Mkuu, Fadlu Davids aliyeamua kutimkia Raja Casablanca, hadi sasa hakuna kocha mzawa...
Kisa Liverpool, Enzo Maresca arusha taulo mapema KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca amesema kiwango ambacho Liverpool imekionyesha katika mechi tano za mwanzo za msimu huu kinaonyesha kuwa ni ngumu kuwafikia wapinzani wao hao na wana nafasi kubwa...
Ronaldo awatibua mashabiki, wamshambulia mtandaoni Baadhi ya mashabiki waliokerwa na hatua ya Cristiano Ronaldo kukosa penalti kwenye mechi ya kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Ireland ya Kaskazini usiku wa kuamkia leo...
Promota Frank Warren afichua Tyson Fury kurudi ulingoni Promota wa masumbwi, Frank Warren, amethibitisha kuwa bingwa wa zamani wa uzani wa juu, Tyson Fury, anapanga kurejea ulingoni 2026.
Messi atuma ujumbe kwa wachezaji wa Argentina chini ya miaka 20 Nahodha na mshambuliaji wa kikosi cha wakubwa cha Argengina, Lionel Messi, ametuma ujumbe wa kuwafariji wachezaji wa timu ya taifa hilo chini ya miaka 20, baada ya kupoteza mechi ya fainali ya...
Maneno ya Cristiano Ronaldo yaungwa mkono na Novak Djokovic Nyota wa Tenisi, Novak Djokovic amempongeza nahodha na mshambuliaji wa Al NAssr ya Saudi Arabia, Cristiano Ronaldo kwa kauli yake kuhusu kupambana na kupata mafanikio.
Sean Dyche, Nottingham Forest wakati wowote kitaeleweka Sean Dyche huenda akatangazwa kuwa kocha mkuu mpya wa Nottingham Forest baada ya mazungumzo kati yake na uongozi wa klabu hiyo kwenda vizuri tangu jana Jumapili jioni Oktoba 19, 2025.