Bei za tiketi Kombe le Dunia 2026 zavujishwa MASHABIKI wa soka wanatarajiwa kugharamika kwa kiasi kikubwa baada ya bei za tiketi za Kombe la Dunia 2026 kuvuja.
Southgate aanza kutajwa Man United, mwenyewe afunguka ALIYEKUWA kocha mkuu wa timu ya taifa ya England, Sir Gareth Southgate anahofia atakosa muda wa kutosha kukifanyia mabadiliko kikosi cha Manchester United, endapo uongozi wa klabu hiyo utafanya...
Villa yatakata ugenini, Celtic, Rangers hali mbaya Europa League USIKU wa Ulaya umeendelea Oktoba 2, 2025 ambapo mechi 36 za michuano ya Europa League na Europa Conference zimechezwa.
Wadau wazionya Simba, Yanga kimataifa, Azam, Singida BS zikitabiriwa makubwa WAKATI Tanzania ikibaki na wawakilishi watano katika michuano ya kimataifa ngazi ya klabu msimu huu 2025-2026, wadau mbalimbali wa soka hapa nchini, wamezipa nafasi kubwa timu nne za Tanzania...
Garathe Southgate hataki dili la Man United TAARIFA za ndani zinadai mabosi wa Manchester United wamepokea taarifa za kushangaza kuhusu kocha Gareth Southgate ambaye alikuwa katika mipango yao ya kwenda kuchukua kijiti kutoka kwa Ruben...
Haaland amwaga mboga STRAIKA wa Manchester City, Erling Haaland amesema kuwa timu yake sio nzuri vya kutosha baada ya kushindwa kupata ushindi katika mechi yao ya tano mfululizo kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Hojlund, Rashford wamtumia ujumbe mzito Amorim WAKATI Manchester United ikiwa haina mwanzo mzuri msimu huu, nyota waliokosa nafasi kikosini hapo na kuondoka, wanakiwasha ipasavyo klabu zingine, huku usiku wa kuamkia leo wakifanya balaa kwenye...
Raundi tatu za Ligi Kuu Bara,Fountain Gate hadi aibu JANA Oktoba 1, 2025, raundi ya tatu ya Ligi Kuu Bara ilihitimishwa kwa kuchezwa mechi mbili, Simba ikiifunga Namungo mabao 3-0, huku JKT Tanzania ikitoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Azam.