Mabosi Man United wamfikiria Fletcher kumrithi Amorim DARREN Fletcher ameingia kwenye mbio za kuwa kocha wa muda wa Manchester United endapo Ruben Amorim atafutwa kazi.
Postecoglou afunguka kufukuzwa KOCHA wa Nottingham Forest, Ange Postecoglou amesema mashabiki wana haki kuzoea na kutaka afukuzwe sababu ndio wenye timu.
Amorim ataja kinachoitafuna Man United KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amesema moja kati ya vitu ambavyo kikosi chake kinakosa ni wachezaji watukutu wenye ‘roho mbaya’ uwanjani.
Pantev aaga Gaborone, aanza safari ya kutua Simba BAADA ya kuwepo kwa taarifa za Kocha Mkuu wa Gaborone United, Dimitar Pantev kufikia makubaliano ya kusaini mkataba wa kuiongoza Simba, mapema leo asubuhi ameaga rasmi.
TRIONDA: Mpira wa ‘AI’ Kombe la Dunia 2026 SHIRIKISHO la Kandanda Duniani (Fifa) limezindua mpira utakaotumika katika Kombe la Dunia 2026 ambao una maboresho kibao ya kiteknolojia ikiwemo akili unde (AI).
Thomas Tuchel atangaza kikosi, amtema Bellingham Meneja wa timu ya Taifa ya England, Thomas Tuchel hajamuisha nyota wa Real Madrid, Jude Bellingham katika kikosi chake kinachojiandaa na michezo miwili ya kimataifa mwezi huu.
Watatu Liverpool kuikosa Chelsea kesho KOCHA wa Liverpool, Arne Slot amethibitisha kuwa mlinda mlango Alisson Becker hatakuwepo kwenye mechi ya EPL dhidi ya Chelsea itakayopigwa kesho Jumamosi kwenye Uwanja wa Stamford Bridge.
Cole Palmer ambwaga Ronaldo, amtaja Ravel Morrison NYOTA wa Chelsea, Cole Palmer, ametaja kikosi chake cha wachezaji watano bila kumjumuisha Cristiano Ronaldo jambo lililowashangaza wengi.
Hamilton arudi uwanjani baada ya msiba wa mbwa wake 'Roscoe' DEREVA wa timu ya Ferrari, Lewis Hamilton alijizuia kulia alipofunguka kuhusu mapenzi makubwa aliyopokea kufuatia kifo cha mbwa wake Roscoe, akiliita tukio hilo kuwa la kushtua kihisia.
Ishu ya kocha mpya Simba, uongozi wafunguka Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally amewataka mashabiki wa timu hiyo kuwa na subira juu ya hatima ya benchi lao la ufundi baada ya kuondokewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids.