Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8037 results for Mwandishi Wetu :

  1. Mabosi Man United wamfikiria Fletcher kumrithi Amorim

    DARREN Fletcher ameingia kwenye mbio za kuwa kocha wa muda wa Manchester United endapo Ruben Amorim atafutwa kazi.

    DAREN Pict
  2. Postecoglou afunguka kufukuzwa

    KOCHA wa Nottingham Forest, Ange Postecoglou amesema mashabiki wana haki kuzoea na kutaka afukuzwe sababu ndio wenye timu.

    BIG Pict
  3. Amorim ataja kinachoitafuna Man United

    KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amesema moja kati ya vitu ambavyo kikosi chake kinakosa ni wachezaji watukutu wenye ‘roho mbaya’ uwanjani.

    AMORIM Pict
  4. Pantev aaga Gaborone, aanza safari ya kutua Simba

    BAADA ya kuwepo kwa taarifa za Kocha Mkuu wa Gaborone United, Dimitar Pantev kufikia makubaliano ya kusaini mkataba wa kuiongoza Simba, mapema leo asubuhi ameaga rasmi.

    PANTEV Pict
  5. TRIONDA: Mpira wa ‘AI’ Kombe la Dunia 2026

    SHIRIKISHO la Kandanda Duniani (Fifa) limezindua mpira utakaotumika katika Kombe la Dunia 2026 ambao una maboresho kibao ya kiteknolojia ikiwemo akili unde (AI).

    MPIRA Pict
  6. Thomas Tuchel atangaza kikosi, amtema Bellingham

    Meneja wa timu ya Taifa ya England, Thomas Tuchel hajamuisha nyota wa Real Madrid, Jude Bellingham katika kikosi chake kinachojiandaa na michezo miwili ya kimataifa mwezi huu.

    KIKOSI Pict
  7. Watatu Liverpool kuikosa Chelsea kesho

    KOCHA wa Liverpool, Arne Slot amethibitisha kuwa mlinda mlango Alisson Becker hatakuwepo kwenye mechi ya EPL dhidi ya Chelsea itakayopigwa kesho Jumamosi kwenye Uwanja wa Stamford Bridge.

    New Content Item (1)
  8. Cole Palmer ambwaga Ronaldo, amtaja Ravel Morrison

    NYOTA wa Chelsea, Cole Palmer, ametaja kikosi chake cha wachezaji watano bila kumjumuisha Cristiano Ronaldo jambo lililowashangaza wengi.

    PALMER Pict
  9. Hamilton arudi uwanjani baada ya msiba wa mbwa wake 'Roscoe' 

    DEREVA wa timu ya Ferrari, Lewis Hamilton alijizuia kulia alipofunguka kuhusu mapenzi makubwa aliyopokea kufuatia kifo cha mbwa wake Roscoe, akiliita tukio hilo kuwa la kushtua kihisia.

    HAMILTON Pict
  10. Ishu ya kocha mpya Simba, uongozi wafunguka

    Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally amewataka mashabiki wa timu hiyo kuwa na subira juu ya hatima ya benchi lao la ufundi baada ya kuondokewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids.

    SIMBA (1)
Previous

Page 318 of 804

Next